Unapotaka kusoma kozi angalia hali ya nyummbani kwenu

kwel kabisa bsc in chemistry ina tatizo gan mbona wa2 wanaidis sana


Hakuna anaeidisi hiyo kitu,ni tamu hata zaidi ya unavyofikiria hasa kwa kipindi hiki ambacho kuna utitiri wa viwanda vipya...by the way waliobobea huko ni wachache mno wakati waajiri ni wengi mno..
 
Wakuu natafuta chuo nina point 28 je nitapata mnisaidie wakuu
 
Wakuu natafuta chuo nina point 28 je nitapata mnisaidie wakuu

kuhusu chuo utapata, hebu kacheki pale, eagle wings college, the amazon college, datastar college, zoom college, greenbird college..! So ni ww tuu na ela yakoo..! Point zako zinakuruhusu.! Over
 
Last edited by a moderator:
Jamaan watu wengine wanapenda tuu sifa kweny kuchagua course,mwisho wa siku uliemaliza nae fm cx akakosa chuo mnaenda kusanda wote kitaa.umaarufuwa saiz njaa ya badae na njaa ya saiz umaarufu wa badae
 
Mna vituko!!!,
mi nachojua MAISHA HAYANA FORMULA kinachohitajika ni UBUNIFU, KUJIAMINI na JITIHADA,

Mlioko vyuoni someni mkifikiria kujiajili zaidi kuliko kutegemea kuajiriwa, INAWEZEKANA 100% KUJIAJIRI HATA KAMA HUNA MTAJI, TUNAZO RESOURCE NYINGI SANA.
 
kuhusu chuo utapata, hebu kacheki pale, eagle wings college, the amazon college, datastar college, zoom college, greenbird college..! So ni ww tuu na ela yakoo..! Point zako zinakuruhusu.! Over

Nadhani amekuelewa ni yeye tu na pesa yake.
 
Last edited by a moderator:
bora procurement lingine linasoma socialogy au public administration..!
Dogo wacha dharau na uhakika 100% wewe ni first year ambae unatarajia kuanza chuo kama ulikua hujui..sociology kwenye NGO ina matter sana na inayotoa watu..na hiyo public administration ina uwanja mpana mpaka U-HRM..tatizo wabongo mna waza jina la kozi nakati katika degree utakayo some kuna courses kibao ambazo..zinaweza kukutoa katika life...ila ni first year usie jua hata kitaa baada ya kumaliza degree kukoje...overr...!!!
 
Hata me nashangaaga,unakuta dume zima eti linasoma community development au procurement!

sasa kama iyo ndio anayoipenda asisome? au nani kasema kama wanawake tu ndo wanasoma izo???..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…