Unapotaka kusoma kozi angalia hali ya nyummbani kwenu

Na wakuu vipi kuhusu accountancy na community development si ni nzuri pia?
 
jamani msipende kudanganyana labda kwa kuwa sisi tumekuwa gari la mkaa kwa sasa , masomo ni masomo tu kesho huijui , inabidi uombe mungu sana na uwe na imani na unalofanya mungu atakuinua , ni wangapi leo hii wamesoma na wana maisha magumu? ni wengi , na kuna wengine misuko suko ndiyo imefanya hata wawaajiri hao wasomi , mimi huwa nina imani moja ya kipuuzi , ukimuona kijana yuko shule/chuo anapata misukosuko mwisho wake huwa ni mzuri sana kuliko wasiopata misukosuko
 
Ndo maana nchi yetu ni vigumu kuendelea,kwanza mtu analazimisha kusoma kitu ili apate kuajiriwa badala ya kujiajiri,mtu ana talent fulani analazimisha kusoma masomo eti ya kiume, nimesomo na watu wengi pale Kibaha O LEVELwalikuwa na one za 7,wakiwa na A za masomo ya sayansi na arts wengine walichukua ECA,HGL nk,na leo ni wanasheria wazuri sana,na wahasibu wazuri sana,tatizo ni wengi wakiona eti vile wamefauru yote hukimbilia sayansi kama MD,Engineering waonekane wakiume ukija kwenye performance ya kazi hovyo kabisa,mtu anatoka jasho tu kwenye operation wakati ni daktari bingwa anAzidiwa na AMO,mhandisi naye anzidiwa na fundi mchundo,NI BORA KUSOMA KULINGANA NA TALENT YAKO MAFANIKIO HUVUTWA NA HIYO TALENT ULIYO NAYO NA SI VINGINEVYO.Jifunzeni kwa wenzetu wazungu katoto tu kanakwambia mimi nasoma niwe polisi,ukisema hivyo Bongo utatolewa macho.
 
Ualimu haukubaliki ni heri usande kitaa miaka 5 bila ajira kuliko ualimu.
 
Ualimu haukubaliki ni heri usande kitaa miaka 5 bila ajira kuliko ualimu.

Kwa nini haukubaliki,huo muda ulio kaa kitaa miaka mitano bila kazi kwa fikra zako unadhani utaendelea kuwa sawa na mwalimu aliye ajiriwa katika kipindi hicho cha miaka mitano
NB:huo ni ujinga na upotoshaji wa jamii kuwa ualimu haukubali,kwani wewe ulifundishwa na nani kama sio Walimu.
 
me napita tu mwalimu mie heslb wameamua kunitesa hvyo hvyo maixha yataenda kuxoma kote na cheml umeme mbnde leo hohe haheee!
 
kila kazi inakubalika inategemea na malengo.... Kaka yangu kafanya engineering miaka minne analipwa laki 6, dada yangu kafanya education miaka mitatu analipwa laki 5.... Unadhani kunakuwa na tofauti kubwa sana ya hali ya maisha kati ya wawili hawa?

Engineering 4 years 600,000/= ,??? kweli wewe ni MBWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…