kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,094
- 3,108
Habari za muda huu ndugu zangu, naomab kujua endapo nitamtumia email mkurugenzi wa taasisi flani ya serikali, je email iyo mfano dg@tcra.go.tz je inamfikia yeye mwenyewe mkurugenzi wa iyo taasisi moja kwa moja na anaisoma au inafikia kwanza kwa msaidizi (secretary wake) the yeye mwenyewe mkurugenzi anapewa taarifa tu na kufanyia kazi. naomba kujua kwenye ili ndugu zangu.
Karibu.
Karibu.