Unasema bia tamu? Itakuwa hujaonja vitamu wewe!!

Unasema bia tamu? Itakuwa hujaonja vitamu wewe!!

Mkuuu wanawake wenye makalio makubwa, Mara nyingi wana kua na jasho katikati ya makalio na kati kati ya mapaja.

Jasho kukaa makalion kwa MUDA mrefu na ukichanganya na Chupi hizi za Nailoni ,huishia kutengeneza mazingira mazuri ya Fangasi kukua.


SASA NI MWANAMKE MSAFI TU, NARUDIA, NIMWANAMKE MSAFI TU NDO ATAEPUKANA NA AINA HIYO YA FANGASI.



huo ndo ukweli, nahuenda hata wewe umewah kutana nahilo , kama sio makalio ( wakat wa doggie)... Basi utazikuta mpajan kwa ndani.
We jamaa ni HATARI, nasomaga masihara Yako kweny Uzi wetu ule wa rickboi....we jamaa siwezi kukupinga kabisa....heshima kwako👍
 
Kila mtu ana taste zake. Mimi kwangu bia sio tamu wala huko kuchakatana sio kutamu.

Nikikuambia hakuna kitu kitamu kama kusoma vitabu utanishangaa sana ila hiyo ni kwangu mimi. So mkuu kama wewe unaona kuchakatana ndio utamu zaidi chakatana. Anaeona bia ni tamu acha anywe.

Tusipangiane au tusibishane kipi ni bora zaidi ya kingine. Ubora wa kitu unategemea na mtu na mtu. Hatuwezi kuwa sawa.
Hahahaha..mfano usome zilee suspense za Sidney Sheldon novel zake au Dan brown kwenye novel..Kuna zilee time had mwil unasisimukaa hv....@nakuunga mkono mdau
 
Hahahaha..mfano usome zilee suspense za Sidney Sheldon novel zake au Dan brown kwenye novel..Kuna zilee time had mwil unasisimukaa hv....@nakuunga mkono mdau
Watu wanadhani burudani zao ndio burudani ya kila mtu.
 
Watu wakiambiwa wapige kura kuchagua kati ya kuchakatana na kunywa bia. Mm nitakuwa mmoja wa watu watakao chagua kuchakatana na tutapata ushindi mkubwa sana.

Aliyesema bia tamu akafanye utafiti upya.

Ndiyo maana hata bia ikikolea inamsukuma mtumiaji aende kuchakatana, hii inamaanisha kwamba bia yenyewe inajua kuna vitu vitamu zaidi yake

Usifanye utani na kuchakatana.

View attachment 2031734
Aisee mm napenda CINEMA, narudia Tena, mm napenda CINEMA, yaan muda ninao tumia kuwaza kuchakatana ni mdogo sana ukilinganisha na ninavowaza mambo ya CINEMA....

IMAGINE UMEKAMATA PEPSI BARIIIDI NA POPCORN ZAKO, UKISUBIRI "THOR LOVE AND THUNDER" IANZE KUONESHWA KWENY BONGE MOJA LA SCREEN, JUST IMAGINE
 
Aisee mm napenda CINEMA, narudia Tena, mm napenda CINEMA, yaan muda ninao tumia kuwaza kuchakatana ni mdogo sana ukilinganisha na ninavowaza mambo ya CINEMA....

IMAGINE UMEKAMATA PEPSI BARIIIDI NA POPCORN ZAKO, UKISUBIRI "THOR LOVE AND THUNDER" IANZE KUONESHWA KWENY BONGE MOJA LA SCREEN, JUST IMAGINE
Hapo ndo penyewe sasa,unaweza kuomba uingie kwenye screen uweke mambo sawa. Kila mtu na raha yake bhana
 
Kila mtu ana taste zake. Mimi kwangu bia sio tamu wala huko kuchakatana sio kutamu.

Nikikuambia hakuna kitu kitamu kama kusoma vitabu utanishangaa sana ila hiyo ni kwangu mimi. So mkuu kama wewe unaona kuchakatana ndio utamu zaidi chakatana. Anaeona bia ni tamu acha anywe.

Tusipangiane au tusibishane kipi ni bora zaidi ya kingine. Ubora wa kitu unategemea na mtu na mtu. Hatuwezi kuwa sawa.
umeona e,
mi mbususu ile pale au bia ile pale au kitabu kile pale lakini niione betting site,au mashine na nipe mtaji ntakimbia kubet bila hata kugeuka nyuma!!
 
Mkuuu wanawake wenye makalio makubwa, Mara nyingi wana kua na jasho katikati ya makalio na kati kati ya mapaja.

Jasho kukaa makalion kwa MUDA mrefu na ukichanganya na Chupi hizi za Nailoni ,huishia kutengeneza mazingira mazuri ya Fangasi kukua.

SASA NI MWANAMKE MSAFI TU, NARUDIA, NIMWANAMKE MSAFI TU NDO ATAEPUKANA NA AINA HIYO YA FANGASI.

huo ndo ukweli, nahuenda hata wewe umewah kutana nahilo , kama sio makalio ( wakat wa doggie)... Basi utazikuta mpajan kwa ndani.
Daa nimekumbuka,kuna ile unakuta katkat ya mikalio kweupe pe kama nyama ya kigodamoto!
 
Kila mtu ana taste zake. Mimi kwangu bia sio tamu wala huko kuchakatana sio kutamu.

Nikikuambia hakuna kitu kitamu kama kusoma vitabu utanishangaa sana ila hiyo ni kwangu mimi. So mkuu kama wewe unaona kuchakatana ndio utamu zaidi chakatana. Anaeona bia ni tamu acha anywe.

Tusipangiane au tusibishane kipi ni bora zaidi ya kingine. Ubora wa kitu unategemea na mtu na mtu. Hatuwezi kuwa sawa.
Hivi mkuu kusoma hata hizi hadithi za kiswahili zinasaidia kujenga uwezo na upeo?
 
Bia tamu na ni tamu kwelikweli
Lakini haijawahi kusemwa kuwa ni tamu kuliko kitu kingine chochote
Fahamu kwamba hata ubwabwa maharage ni mtamu
 
Back
Top Bottom