Unasema Steve Nyerere ana kimbelembele? Hujakutana na Mwijaku wewe

Sawa sawa kabisa Mkuu
 
Haha, jamaa ana kiherehere sijawahi kusikia!
 
Inadaiwa kuwa Mwijaku ndiye mvujishaji wa video za menina. Ila jamani wanawake nasi tuna huruma. Mwanaume anaishi kwa kuchambana hapa mjini naye unampa mwili wako?
Wanaume wa maana wanatubania, wanaenda kuyapa hayo mehu
 
Umeliona ilo mkuu, Mafala sana hawa manzi
Watatuelewa tu badae, ila sasa hivi kipindi menina yupo kwenye ma stress ni kipindi kizuri sana cha kumpata kuliko kipindi chochote kile.. watoto wa kike kipindi kama hiki huwa wanahitaji wanaume hasa wanao weza kuwa handle... ni sawa na demu akipigwa chini huwa kumpata ni dk 0... na unaweza mla siku hiyo hiyo... hii ina apply kwa menina
 
Inadaiwa kuwa Mwijaku ndiye mvujishaji wa video za menina. Ila jamani wanawake nasi tuna huruma. Mwanaume anaishi kwa kuchambana hapa mjini naye unampa mwili wako?
Si mnataka maneno mengi.. ya uongouongo na yakuwafurahisha...
 
Inadaiwa kuwa Mwijaku ndiye mvujishaji wa video za menina. Ila jamani wanawake nasi tuna huruma. Mwanaume anaishi kwa kuchambana hapa mjini naye unampa mwili wako?
Baadhi yenu mnapenda kusikia uwongo, pia mnapenda wanaume mazoba wasio na uwezo wa kuwa kemea.
 
Aliwadanganya alisoma mzumbe BPA 2006 na navyijua mm mwaka wa Pili alidisco labda baada ya hapo alienda UD

Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi huenda alidisco mzumbe akaenda UD sababu mimi nilikuwa namuona UD miaka ile ya 2011/12
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…