MgosiMnubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2022
- 890
- 1,487
Kweli kabisa nitaoaOa mkuu
Ila mm naingia kibaruani then baadae tunaingia kupakwa majivu
Hivyo ndivyo nitakavyo sherehekea mkuu
Pole sana.
Sikatai tena ndoa. Nimegundua mke ni muhimu. Mke ni zaidi ya ndugu na helaNaam kataa ndoa wote mnatakiwa muonjeshwe how it feels to live without a wife kama hivyo, sasa hilo trailer tu fainali uzeeni fanya maamuzi mapema kabla hujachelewa msifikiri mkikataa ndoa mnawakomoa wanawake, kwa kifupi wanaume bado sana hamjajifunza kuishi bila wanawake acheni mbwembwe
Usiwe Loading failed tena.Kuwa Mnara unasoma 5G!Sikatai tena ndoa. Nimegundua mke ni muhimu. Mke ni zaidi ya ndugu na hela
Wee inategemea. Mimi kaka yangu alikimbiwa na mke akiwa mgonjwa sana, sasa hivi kapona, mke kaenda kuzalishwa huko hana habari hata na watoto wake. Mwingine yuko ICU KCMC anapumulia mashine hajui anayetoka au kuingia , huyu naye mkewe kala kona, ni ndugu tu ndio tunahakikisha anapatiwa matibabu na huduma nyingine. Ndugu bado wana umuhimu sana likija suala la kuuguza kwa muda mrefu, wengine ni wapita njia tu wanaweza kukukimbia wakati wowote maana huna vinasaba nao.Sikatai tena ndoa. Nimegundua mke ni muhimu. Mke ni zaidi ya ndugu na hela
Sema hapa wanakataza chakula cha nje..Upo hospital gani nikuletee matunda?
Wewe mtu Safi sana.Upo hospital gani nikuletee matunda?
Asante sanaNishapaka majivu hapa misa ya asubuhi... Niko naendelea na mfungo.,
Ugua pole mkuu
Hata matunda jamani??Sema hapa wanakataza chakula cha nje..
Nimekutumia inboxUpo hospital gani nikuletee matunda?
Ndiyo hawataki..wanayo ndani. Huku unaletewa ukitakaHata matunda jamani??
Nikuomba Mungu. Ila mke ana nafasi yake asee, mwanamke ni kiumbe muhimu sana kwa mwanaumeWee inategemea. Mimi kaka yangu alikimbiwa na mke akiwa mgonjwa sana, sasa hivi kapona, mke kaenda kuzalishwa huko hana habari hata na watoto wake. Mwingine yuko ICU KCMC anapumulia mashine hajui anayetoka au kuingia , huyu naye mkewe kala kona, ni ndugu tu ndio tunahakikisha anapatiwa matibabu na huduma nyingine. Ndugu bado wana umuhimu sana likija suala la kuuguza kwa muda mrefu, wengine ni wapita njia tu wanaweza kukukimbia wakati wowote maana huna vinasaba nao.
ni J5 ya majivu,Wakuu habari.
Mimi na sheherekea valentine day nikiwa nimelazwa hospital baada ya kupata ajali hivi karibuni na sheherekea na madaktari na manesi huku wakinipa vinywaji vyangu vikiwa drip za kutosha pamoja na sindano zisizo hesabika.
Nimelala hapa kwenye kitanda cha hospital
Je, wewe unasheherekea ukiwa wapi?
Nb:mke ana thamani kubwa lazima nitaoa asee, mimi siyo wa kuogeshwa na nesi