Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

Take a Picture by Young Thug...sijui kwanini huyu jamaa hakutoa video version.
 
Sure mkuu, jamaa fundi sana, hata beat amesuka mwenyewe, maana hii nyimbo ilikuwa ni single ya kwenye album yake ya "Indicudi" aliyokuwa ameipika mwenyewe kuanzia mashairi mpaka beats.

Ana nyimbo yake moja ya Down and Out na yenyewe ni ngoma moja kali sana.
Kid Cudi had enormous potential than Drake, tulitegemea angekuwa mkubwa kuwapita wenzake maana alikuwa ana kila rasilimali ambayo wasanii wenzake hawana. Alikuwa anajua kuandika, anajua kutengeneza biti, yuko chini ya Kanye West na kubwa zaidi tofauti na Rappers wengine yeye alikuwa anajua kuimba. Strange World....
 
Kid Cudi had enormous potential than Drake, tulitegemea angekuwa mkubwa kuwapita wenzake maana alikuwa ana kila rasilimali ambayo wasanii wenzake hawana. Alikuwa anajua kuandika, anajua kutengeneza biti, yuko chini ya Kanye West na kubwa zaidi tofauti na Rappers wengine yeye alikuwa anajua kuimba. Strange World....
Kid Cudi alikuwa anapitia mental health issues, alikuwa depressed kwa muda mrefu, hiyo ikasababisha hiatus kwenye carrier yake.

Jamaa hata ukimsikiliza album zake, utagundua anapenda kuandika depressing songs.
 
Back
Top Bottom