Inategemea unatafuta nini?,unataka nini?,na unataka upate nini hapo baadae?Twende serikalini au tubaki huku huku tulipo Lightysh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea unatafuta nini?,unataka nini?,na unataka upate nini hapo baadae?Twende serikalini au tubaki huku huku tulipo Lightysh
Pesa nzr tuMbna pesa nyingi hiyo na ni lazima apande daraja
Private kuna kautamu sema mamb sio gurantee.Serikalini isiwe tu vijijini kwakweli.
Japo huku tulipo nako pana utamu wake😋
Mkuu ni kweli hela siyo rahisi ila hauwezi amini kuna taasisi mtu anapokea 3M entry level, huko private sector baadhi ya NGOs na makampuni ya madini kuna kada watu wanaanza na hiyo, labda gavoo ndio ishu utakutana na wachache kina TCRA, ATCL (engineer wa ndege), et alSasa nani anapata 3-5m kirahisi? Labda uwe mwizi. Hakuna hela rahisi sio mwajiriwa wala aliejiajiri. Mshahara wa kuanzia huwa ni mdogo popote pale,ila ukiendelea na kuwa specialist unapanda sio Dr tu hata taaluma nyingine.
Mbona mnaponda sana mishahara ya watu utafkri ninyi mnamaisha mazuri sana.Bado haitoshi Mkuu. Maana angepata kama Shilingi 1,100,000.
Sasa mwanasheria hapa kaingiaje comrade?? 😂Miaka 6 ya msoto lakini malipo sawa tu na Mwanasheria wakipishana kiduchu mno.
Mwajiriwa Hifadhi za Taifa huko porini asiye na elimu kubwa analipwa mara mbili ya hii ya MD.
Wakuu serikalini musihangalie mishahara tuSasa mwanasheria hapa kaingiaje comrade?? 😂
Kwanza hata Judiciary kwenyew hamnaga maisha
Deni La HESLEB 32m ! Atalimaliza lini? Akakope bank afungue phamercy aache utumwa.why all that 6 yrs? ushenzi mtupu
Mwalimu na daktari watapata safari za kwenda wapi?Wakuu serikalini musihangalie mishahara tu
Kule kuna incentives nyingi
watu wana TGS ila duuuh mtu anakula perdiem balaa
Kuna mtu namfahamu ana miezi 8 tu tokaaanze kazi yuko Tume ya ajira (not psrs maana watu huwa wanachanganya),aisee huyu anapiga safari balaa
Muda mwingi yuko mikoani,sahvi ana mikwanja utadhani kaanza kazi muda mrefu ila kaanza mwaka jana na alipata kupitia utumishi
Halafu ukiumwa utatibiwa na nani?Deni La HESLEB 32m ! Atalimaliza lini? Akakope bank afungue phamercy aache utumwa.