Unasomea Udaktari miaka mingi, kisha unakuja kulipwa hivi

Unasomea Udaktari miaka mingi, kisha unakuja kulipwa hivi

Huu ni mshahara wa kuanzia. Hata taaluma nyingine huanzi na milion nyingi. Vipi ushaona mshahara wa Spcialist Dr? Nina rafiki zangu ma Dr wako vizuri sana, Mtu ana clinic Hindu Mandal, Aga Khan, anafundisha Muhimbili na Kairuki na ameajiriwa full time hospital kubwa ya serikali. Nikikutajia anachopata kwa mwezi hutaamini. Ila anahenyeka hana muda wa kupoteza. Mwanzo mgumu vijana usitegemee utoke tu chuo ulipwe 3m Tanzania hii.
Hii kweli kabisa, wenye hii taaluma ni rahisi kutoboa.
Hata mimi nna rafiki yangu amefungua clinic yake anaingiza pesa nyingi na bado ana mshahara wa maana.
Hapo kuna kitu kinambana km isingekuwa hivyo angekuwa mbali zaidi ya hapo.
 
Sasa BOT kwa mfano waajiri Daktari kwa kazi gani?

Ninachofahamu kila taasisi ya umma iwe serikali kuu ama halmashauri lazima kuwe na wanasheria ama wahasibu piga ua hawakosekani.

Lakini sio kila taasisi ya umma wanaajiri madaktari maana mfano TPDC wataajiri mwanasheria kwa ajili ya ushauri ama kusimamia masuala yote ya kisheria , mhasibu kwa ajili ya mahesabu na kumbukumbu za taasisi ama IT kwa ajili ya mifumo ya kieletroniki.

Mtu akiumwa anaenda hospitali ya kawaida sasa huyo MD aajiriwe TPDC kwa kazi gani?

Nimefanya kazi taasisi nyingi na kwenye kampuni binafsi ninachojua kote huko kuna wanasheria wa taasisi/kampuni lakini sijawahi kuona daktari wa kampuni.
TPDC wanaajiri MD, wale wanaokaa kwenye hospital za jeshi, namfahamu m1 yuko huko.
 

Attachments

  • IMG_3089.jpeg
    IMG_3089.jpeg
    87.8 KB · Views: 13
Sasa BOT kwa mfano waajiri Daktari kwa kazi gani?

Ninachofahamu kila taasisi ya umma iwe serikali kuu ama halmashauri lazima kuwe na wanasheria ama wahasibu piga ua hawakosekani.

Lakini sio kila taasisi ya umma wanaajiri madaktari maana mfano TPDC wataajiri mwanasheria kwa ajili ya ushauri ama kusimamia masuala yote ya kisheria , mhasibu kwa ajili ya mahesabu na kumbukumbu za taasisi ama IT kwa ajili ya mifumo ya kieletroniki.

Mtu akiumwa anaenda hospitali ya kawaida sasa huyo MD aajiriwe TPDC kwa kazi gani?

Nimefanya kazi taasisi nyingi na kwenye kampuni binafsi ninachojua kote huko kuna wanasheria wa taasisi/kampuni lakini sijawahi kuona daktari wa kampuni.
1.kua haujui B.O.T Wana clinics kwenye baadhi ya centre zao na wana MD hadi leo?,......je wewe sio MPUMBAVU?
2.kua mfanyakazi akiugua anaenda hospitali ya kawaida,hospitali ya kawaida unamaanisha nini?
3.Ok umefanya kazi taasisi nyingi,UDSM,SUA,DIT,TRC,NHIF,TPDF,MSD,WCF,NIMR,JKCI,TANAPA,KIA etc.....kote huko umefanya kazi na haujawaona MD,umewaona tu wanasheria na wahasibu?😆😃😃.........Je wewe sio MPUMBAVU?
NOTE
Mpumbavu ni mtu anayejifanya anajua,akaelekezwa,akapewa "facts",na vielelezo bado tu akajifanya yeye anajua
 

Attachments

  • Screenshot_20240718-121549.png
    Screenshot_20240718-121549.png
    123.8 KB · Views: 14
  • Screenshot_20240718-122228.png
    Screenshot_20240718-122228.png
    99.6 KB · Views: 12
Mzee Umechanganya Reply 😅😅
Sijasema mahali popote Kuwa MD au MMed Au Fellow "Super Special" (Phd) Wa Afya waajiriwe Mahali kokote Kule TRA au Taasisi nyingine soma kwanza kabla ya Kuquotes..

Kingine Hiyo slip aliyopost ni Mtumishi aliyeajiriwa Wizara ya afya na Tamisemi..
Je umepata Wasaa wa Kuangalia Walioajiriwa kwenye TAASISI kama Muhimbili, Bugando, Ocean Road na Tasisi zingine ukalinganisha pesa zao...

Maana unachofanya nikulinganisha Taasisi na Serkali za mitaa na Serkali kuu..

Ningeona Bora kama mngelinganisha MD kutoka kwenye Taasisi kama Muhimbili au MOI na Hizo taasisi zenu au NIMR na taasisi zenu
Hawa ndio wajinga/WAPUMBAVU waliojaa JF,ila hatuchoki kuwa pre-empty minds zao........
1.wasichojua huko TAMISEMI na wizara wanapowaponda MD,......na mishahara ni midogo,MD ndio ana mshahara mkubwa kuliko mtu yeyote kwenye hio taasisi😃😃😆😆,junior tu anayeanza kazi TAMISEMI anamzidi hata mwanasheria,muhasibu,I.T aliye kazini hata miaka 10
2.Wanadhani Katika mashirika ya umma hamna MD,wapo wengi sana na wanalipwa kwa "rate"kubwa kuwazidi wahasibu,wanasheria etc......waambie wapumbavu waende NIMR,NHIF,WCF,B.O.T,TANAPA etc
3.Sasa hawa WAPUMBAVU😆🤣🤣,wanakuja kulingaisha mshahara wa muhasibu wa NIMR na MD wa halmashauri,ukiwaambie tuletee salary slip ya MD wa NIMR wanaleta matusi........WAPUMBAVU nipo nao mwanzo mwisho kwenye huu Uzi
NOTE
Note mpumbavu ni mtu asiyejua(MJINGA),akajifanya anajua,akaelekezwa,akapewa facts/logic,.....vielelezo bado akajifanya anajua
 
Hawa ndio wajinga/WAPUMBAVU waliojaa JF,ila hatuchoki kuwa pre-empty minds zao........
1.wasichojua huko TAMISEMI na wizara wanapowaponda MD,......na mishahara ni midogo,MD ndio ana mshahara mkubwa kuliko mtu yeyote kwenye hio taasisi😃😃😆😆,junior tu anayeanza kazi TAMISEMI anamzidi hata mwanasheria,muhasibu,I.T aliye kazini hata miaka 10
2.Wanadhani Katika mashirika ya umma hamna MD,wapo wengi sana na wanalipwa kwa "rate"kubwa kuwazidi wahasibu,wanasheria etc......waambie wapumbavu waende NIMR,NHIF,WCF,B.O.T,TANAPA etc
3.Sasa hawa WAPUMBAVU😆🤣🤣,wanakuja kulingaisha mshahara wa muhasibu wa NIMR na MD wa halmashauri,ukiwaambie tuletee salary slip ya MD wa NIMR wanaleta matusi........WAPUMBAVU nipo nao mwanzo mwisho kwenye huu Uzi
NOTE
Note mpumbavu ni mtu asiyejua(MJINGA),akajifanya anajua,akaelekezwa,akapewa facts/logic,.....vielelezo bado akajifanya anajua
Mkuu umeongea Vyote hahaha
 
Zitaje hizo shortcut
  • Any illegal activity (the higher the risk the higher the monetary reward)...
  • Badala ya kutumia huo muda kusoma angeanza udalali au uchuuzi at a bigger scale sasa hivi angekuwa na pesa nyingi zaidi minus madeni ya mikopo
  • Uganga wa kienyeji na utapeli wa kuwauzia watu hope
  • Badala ya kupata medical skills angepata salesmanship skills (through experience na learning) sasa hivi angeweza kupata pesa kuliko hizo
  • Hizo pesa alizotumia kusomea angewekeza kwenye long term business mfano kajumba wakati anaanza kusoma theoretically leo angekuwa na pesa zaidi
  • Badala ya kwenda shule angeweka pesa zake kwenye account asizitoe na apate compound interest leo hii zingekuwa nyingi kuliko mshahara huu anaolalamikia...
Nadhani a better question ni IS IT WORTH IT..., kwangu mimi naona hapana there is more to life than money / cash The fulfillment of achieving what you had set out to do is what its all about....

 
Bora hata wewe hujaajiriwa,yupo jamaa shoga anaingiza hela zaidi ya hio pia?
Wapo watu wanakaa tu kwao,wanaweza kuununua ukoo wako wote.
Watu wengi walipenda kua madaktari,MD.
sema walifeli shule/maksi hazikutosha,wameishia kua na hasira na Kila kitu anachofanya MD
Tumezungumzia pesa kiwango anachoingiza kwa mwezi, kila mtu ana akili zake, kama Mimi nilishaacha ajira maana nilishaona siwezi kutoboa kwa kupitia ajira ya serikali hii, unamlipaje mtu muhimu kama daktari 700k, au 800k? Wakati huku kitaa kwa mwez baada ya matumiz yote kabisa ikibak milion 1 tunaona hatuna kitu, usipanic mzee nitafute utajipata
 
Tumezungumzia pesa kiwango anachoingiza kwa mwezi, kila mtu ana akili zake, kama Mimi nilishaacha ajira maana nilishaona siwezi kutoboa kwa kupitia ajira ya serikali hii, unamlipaje mtu muhimu kama daktari 700k, au 800k? Wakati huku kitaa kwa mwez baada ya matumiz yote kabisa ikibak milion 1 tunaona hatuna kitu, usipanic mzee nitafute utajipata
1.Unataka Kodi yote inayokusanywa nchini, itumike kulipa mishahara ya daktari,huyo daktari anayelipwa laki 8 ndio mtu anayelipwa pesa nyingi kwenye hio taasisi kuliko taaluma nyingine yeyote ile
2.wewe uliona huwezi kutoboa kwa ajira serikalini,au sababu ni incompetent?,.......hata wabunge,wagenerali wa jeshi,RC,makimishna wa tume na wadau kibao wapo serikalini kwenye payroll,wanavuta kwa mwezi pesa ambayo ni mitaji ya watu wengi sana wanaosema wao hawawezi kaajiriwa😆😆
3.huko kitaa we na nani ikibaki milioni 1 munaona hamuna kitu?,kua maisha rahisi hivyo?,wewe huyo na hawa watu wanaogombaniw daladala na mwendo Kasi Kila iitwayo leo?😆😃😃
 
1.Unataka Kodi yote inayokusanywa nchini, itumike kulipa mishahara ya daktari,huyo daktari anayelipwa laki 8 ndio mtu anayelipwa pesa nyingi kwenye hio taasisi kuliko taaluma nyingine yeyote ile
2.wewe uliona huwezi kutoboa kwa ajira serikalini,au sababu ni incompetent?,.......hata wabunge,wagenerali wa jeshi,RC,makimishna wa tume na wadau kibao wapo serikalini kwenye payroll,wanavuta kwa mwezi pesa ambayo ni mitaji ya watu wengi sana wanaosema wao hawawezi kaajiriwa😆😆
3.huko kitaa we nani ikibaki milioni 1 munaona hamuna kitu?,kua maisha rahisi hivyo?,wewe huyo na Hawa watu wanaogambia daladala na mwendo Kasi Kila iitwayo leo?😆😃😃
Basi sitakujibu tena, mana nimeshaona WEWE BADO SANA

hilo Neno nililoandika kwa herufi kubwa ukilizingatia litakusaidia sana
 
Basi sitakujibu tena, mana nimeshatoa WEWE BADO SANA

hilo Nemo nililoandika kwa herufi kubwa ukilozingatia litakusaidia sana
1.kwa nini hautanijibu?
2.Mimi bado sana kwenye nini?
3.Unadhani maisha ni rahisi hivyo,ukiona nchi Daktari analipwa hela ndogo ,jua Taaluma zingine watu wapo hoi sana,na wasio na taaluma maisha ndio magumu 800%,
 
Hahahaha wasio na taaluma? Sawa nimekuelewa tuishie hapa ila WEWE BADO SANA
1.we si ulisema hautanijubu tena wewe?😆😃😃
2.Unadhani maisha ni rahisi,ukiona wafanyabishara 100 jua wapo waliojaribu zaidi ya 10000 walifeli hio biashara
3.Iko wazi watu wasio na taaluma yeyote ile wana maisha magumu mno,unadhani hata hizo biashara zinafanywa na WAPUMBAVU?
4.Maisha sio raisi hivyo,kiasi ufeli masomo magumu ya PCB,ushindwe kujiunga na MD baasi tu uamini tayari umeshakua mfanyabiashara
 
1.we si ulisema hautanijubu tena wewe?😆😃😃
2.Unadhani maisha ni rahisi,ukiona wafanyabishara 100 jua wapo waliojaribu zaidi ya 10000 walifeli hio biashara
3.Iko wazi watu wasio na taaluma yeyote ile wana maisha magumu mno,unadhani hata hizo biashara zinafanywa na WAPUMBAVU?
4.Maisha sio raisi hivyo,kiasi ufeli masomo magumu ya PCB,ushindwe kujiunga na MD baasi tu uamini tayari umeshakua mfanyabiashara
🤣🤣🤣 Umeona sasa! Ndio mana nakwambia WEWE BADO SANA
 
Back
Top Bottom