Unasomea Udaktari miaka mingi, kisha unakuja kulipwa hivi

Unasomea Udaktari miaka mingi, kisha unakuja kulipwa hivi

Vipi na daktari wa TANAPA,MD,BVM,Phd......anazidiwa kiasi gani na askari wa TANAPA?
NOTE
huwezi kuichukia elimu,ukabaki salama,.......lazima tu utakua MPUMBAVU
Naona huelewi context. Hakuna anayechukia elimu. Tunaongelea maslahi madogo ya madaktari against kada zingine za umma kama TANAPA, TRA, LATRA na taasisi kama hizo, ambazo skeli zao za mishahara ni kubwa kulinganisha za madaktari. Period.
 
Braza nilishawah pata kazi flan kirahis mnoooo na ile kazi sikua hata naona ninachokifanya mpaka (honestly) siku nikamfuata msaidizi /chawa wa director nikamuuliza "hivi hakuna kazi zingine za kufanya zaidi ya hizi?? Mbona naona kama sifanya kazi hapa inayoe dana na mshahara mnaonilipa" kazi muda mwingi ni vikao vikao tuuuu na kuandika andika report, i was employed as an IT personelly lakin nikajua hapo ni mwendonwa software development tu ila kutwa nacheza na excel halaf sasa uliza mshahara, nilikua nalipwa milion 3.5 kwa mwezi.

Na kaz ilikua full kusafir, na kila ukisafir per dm 80k every day nje ya ofisi hapo umeshalipowa hotel, na chakula, ukiwa kwenye movement ya kiofisi ni gari. Unakula pipa mara 2 hadi 3 kwa week.

Ukija kusanya per dm mpaka mwez unaisha sio chini ya 1.5milion nje ya mshahara..
Sasa kilichofanya nini ukataee hiyo kazi? Upelee humuota asiye na kucha.
 
Naona huelewi context. Hakuna anayechukia elimu. Tunaongelea maslahi madogo ya madaktari against kada zingine za umma kama TANAPA, TRA, LATRA na taasisi kama hizo, ambazo skeli zao za mishahara ni kubwa kulinganisha za madaktari. Period.
1.Sasa unadhani madaktari kwenye hizo taasisi zinazolipa mishahara unayodai ni mikubwa huwa hawaajiriwi?
2.MSD,NHIF,BOT,TANAPA,TPDF......etc huko hakuna madaktari MD?
3.kwa hio madaktari waliokua kwenye hizo taasisi unazosema zina mishahara mikubwa wao ndio wanalipwa kidogo?
4.halafu hizo ulizotaja kada za umma,TANAPA,TRA,LATRA....hizo sio kada/"profession"ni taasisi za umma ambazo zimeajiri kada mbali mbali kama accountant,lawyer,MD,I.T,etc na hulipwa kulingana na salary scale ya taasisi husika
5.Je wewe sio MPUMBAVU kwa kutokujua kua pia MD huajiriwa kwenye taasisi,na hulipwa salary scale according to hio taasisi?
6.Je wewe sio MPUMBAVU😃😃 kwa kusema kwamba TANAPA,TRA na LATRA ni kada,wakati hizo ni taasisi?
😆😆
NOTE
Wengi wanaoponda MD ni waliofeli secondary kua MD sababu maksi hazikutosha sasa wanajifariji kwa kusingizia MD wanalipwa kidogo
 
Kuna wadau wapo TPDC tena madereva tu wasio na elimu wala hawana mkopo HESLB wanakunja mamilioni ya pesa kushinda daktari aliyekaa miaka 6 darasani na anadaiwa mkopo na bodi.

Ni stress tupu hii kazi udaktari. Misosi pekee wanaokula pale TPDC kwa mwezi ni mshahara wa daktari.
Kuna kipindi i met Dr Mataragio akiwa TPDC na sikuwa najua haya ila ningebubujikwa na machozi aniweke pale.
 
1.Sasa unadhani madaktari kwenye hizo taasisi zinazolipa mishahara unayodai ni mikubwa huwa hawaajiriwi?
2.MSD,NHIF,BOT,TANAPA,TPDF......etc huko hakuna madaktari MD?
3.kwa hio madaktari waliokua kwenye hizo taasisi unazosema zina mishahara mikubwa wao ndio wanalipwa kidogo?
4.halafu hizo ulizotaja kada za umma,TANAPA,TRA,LATRA....hizo sio kada/"profession"ni taasisi za umma ambazo zimeajiri kada mbali mbali kama accountant,lawyer,MD,I.T,etc na hulipwa kulingana na salary scale ya taasisi husika
5.Je wewe sio MPUMBAVU kwa kutokujua kua pia MD huajiriwa kwenye taasisi,na hulipwa salary scale according to hio taasisi?
6.Je wewe sio MPUMBAVU😃😃 kwa kusema kwamba TANAPA,TRA na LATRA ni kada,wakati hizo ni taasisi?
😆😆
NOTE
Wengi wanaoponda MD ni waliofeli secondary kua MD sababu maksi hazikutosha sasa wanajifariji kwa kusingizia MD wanalipwa kidogo
👏👏👏
Wape Hii wasikilize Mkuu
 
"If It were Easy, Everyone will be a Doctor, Because this is the best Job in the World, Despite Everything"
 
Back
Top Bottom