Unasomea Udaktari miaka mingi, kisha unakuja kulipwa hivi

Unasomea Udaktari miaka mingi, kisha unakuja kulipwa hivi

Udaktari ni wito, kama shida yako ni kupata hela nyingi kafanye biashara
Unakuta mtu ameingia jeshini kufata maokoto! Unajua kila kitu wito
Kuna mtu hata leo wakiacha kulipwa hela nyingi ataridhika mana kwake ni wito!
Ualimu ni wito pia yani karibu kazi zote duniani ni wito.
Ukitaka hela kuwa mfanyabiashara
 
Ulisoma ili upate pesa ? Mbona kuna shortcuts nyingi tu za kupata pesa bila hata kusoma ?

Ifike wakati watu wasomee kitu ambacho wana calling kitu ambacho wapo comfortable kufanya kitu ambacho hata bure wangefanya; tofauti na hapo unakuwa mtumwa wa pesa....
Zitaje hizo shortcut
 
1.Sasa unadhani madaktari kwenye hizo taasisi zinazolipa mishahara unayodai ni mikubwa huwa hawaajiriwi?
2.MSD,NHIF,BOT,TANAPA,TPDF......etc huko hakuna madaktari MD?
3.kwa hio madaktari waliokua kwenye hizo taasisi unazosema zina mishahara mikubwa wao ndio wanalipwa kidogo?
4.halafu hizo ulizotaja kada za umma,TANAPA,TRA,LATRA....hizo sio kada/"profession"ni taasisi za umma ambazo zimeajiri kada mbali mbali kama accountant,lawyer,MD,I.T,etc na hulipwa kulingana na salary scale ya taasisi husika
5.Je wewe sio MPUMBAVU kwa kutokujua kua pia MD huajiriwa kwenye taasisi,na hulipwa salary scale according to hio taasisi?
6.Je wewe sio MPUMBAVU😃😃 kwa kusema kwamba TANAPA,TRA na LATRA ni kada,wakati hizo ni taasisi?
😆😆
NOTE
Wengi wanaoponda MD ni waliofeli secondary kua MD sababu maksi hazikutosha sasa wanajifariji kwa kusingizia MD wanalipwa kidogo
Sasa BOT kwa mfano waajiri Daktari kwa kazi gani?

Ninachofahamu kila taasisi ya umma iwe serikali kuu ama halmashauri lazima kuwe na wanasheria ama wahasibu piga ua hawakosekani.

Lakini sio kila taasisi ya umma wanaajiri madaktari maana mfano TPDC wataajiri mwanasheria kwa ajili ya ushauri ama kusimamia masuala yote ya kisheria , mhasibu kwa ajili ya mahesabu na kumbukumbu za taasisi ama IT kwa ajili ya mifumo ya kieletroniki.

Mtu akiumwa anaenda hospitali ya kawaida sasa huyo MD aajiriwe TPDC kwa kazi gani?

Nimefanya kazi taasisi nyingi na kwenye kampuni binafsi ninachojua kote huko kuna wanasheria wa taasisi/kampuni lakini sijawahi kuona daktari wa kampuni.
 
MD aajiriwe TRA kwa kazi gani? Mwanasheria anaajiriwa TRA kwasababu ya kufanya kazi za kisheria ama accountant kazi za kiuhasibu, IT kazi zinazohusiana na mifumo ya computer ya taasisi.
Mzee Umechanganya Reply 😅😅
Sijasema mahali popote Kuwa MD au MMed Au Fellow "Super Special" (Phd) Wa Afya waajiriwe Mahali kokote Kule TRA au Taasisi nyingine soma kwanza kabla ya Kuquotes..

Kingine Hiyo slip aliyopost ni Mtumishi aliyeajiriwa Wizara ya afya na Tamisemi..
Je umepata Wasaa wa Kuangalia Walioajiriwa kwenye TAASISI kama Muhimbili, Bugando, Ocean Road na Tasisi zingine ukalinganisha pesa zao...

Maana unachofanya nikulinganisha Taasisi na Serkali za mitaa na Serkali kuu..

Ningeona Bora kama mngelinganisha MD kutoka kwenye Taasisi kama Muhimbili au MOI na Hizo taasisi zenu au NIMR na taasisi zenu
 
Sasa BOT kwa mfano waajiri Daktari kwa kazi gani?

Ninachofahamu kila taasisi ya umma iwe serikali kuu ama halmashauri lazima kuwe na wanasheria ama wahasibu piga ua hawakosekani.

Lakini sio kila taasisi ya umma wanaajiri madaktari maana mfano TPDC wataajiri mwanasheria kwa ajili ya ushauri ama kusimamia masuala yote ya kisheria , mhasibu kwa ajili ya mahesabu na kumbukumbu za taasisi ama IT kwa ajili ya mifumo ya kieletroniki.

Mtu akiumwa anaenda hospitali ya kawaida sasa huyo MD aajiriwe TPDC kwa kazi gani?

Nimefanya kazi taasisi nyingi na kwenye kampuni binafsi ninachojua kote huko kuna wanasheria wa taasisi/kampuni lakini sijawahi kuona daktari wa kampuni.
Tulinganishe Mwanasheria aliyeajiriwa Kwemye Taasisi yoyote na Daktari aliyeajiriwa Kwenye Taasisi yoyote ile kama Muhimbili,MOI, ocean road na NIMR
 
Back
Top Bottom