daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Udaktari ni wito, kama shida yako ni kupata hela nyingi kafanye biashara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ayubu alimwambia mke wake 'Je tupate mema tu mikononi mwa Bwana na si mabaya?KUmbe je??? Nilikaa chin nikawaza na kitafakari kama yule mwana mpotevu, nikaona acha nirud nyumbani kwa baba 😂😂😂
SAsa hapa unachanganya mambo nitabadil mawazo.Ayubu alimwambia mke wake 'Je tupate mema tu mikononi mwa Bwana na si mabaya?
Unakuta mtu ameingia jeshini kufata maokoto! Unajua kila kitu witoUdaktari ni wito, kama shida yako ni kupata hela nyingi kafanye biashara
Mawazo gani?SAsa hapa unachanganya mambo nitabadil mawazo.
Utayakosa mema ya nchi, wewe inabid uwe chawa wangu mdogo anguMawazo gani?
Basi tajiri! Unajua kabisa kua chawa wako ndio kitu napenda☺️Utayakosa mema ya nchi, wewe inabid uwe chawa wangu mdogo angu
Zitaje hizo shortcutUlisoma ili upate pesa ? Mbona kuna shortcuts nyingi tu za kupata pesa bila hata kusoma ?
Ifike wakati watu wasomee kitu ambacho wana calling kitu ambacho wapo comfortable kufanya kitu ambacho hata bure wangefanya; tofauti na hapo unakuwa mtumwa wa pesa....
MD aajiriwe TRA kwa kazi gani? Mwanasheria anaajiriwa TRA kwasababu ya kufanya kazi za kisheria ama accountant kazi za kiuhasibu, IT kazi zinazohusiana na mifumo ya computer ya taasisi.
Unavyolipwa pesa nyingi pia matumiz makubwa sanaAllowance zipo kibao
Call allowance
Special duty allowance
Akijikusanya hizo zote ziinamrudisha kwenye kahela fulani hivi
SEma actually pesa haijawahi tosha
Sasa BOT kwa mfano waajiri Daktari kwa kazi gani?1.Sasa unadhani madaktari kwenye hizo taasisi zinazolipa mishahara unayodai ni mikubwa huwa hawaajiriwi?
2.MSD,NHIF,BOT,TANAPA,TPDF......etc huko hakuna madaktari MD?
3.kwa hio madaktari waliokua kwenye hizo taasisi unazosema zina mishahara mikubwa wao ndio wanalipwa kidogo?
4.halafu hizo ulizotaja kada za umma,TANAPA,TRA,LATRA....hizo sio kada/"profession"ni taasisi za umma ambazo zimeajiri kada mbali mbali kama accountant,lawyer,MD,I.T,etc na hulipwa kulingana na salary scale ya taasisi husika
5.Je wewe sio MPUMBAVU kwa kutokujua kua pia MD huajiriwa kwenye taasisi,na hulipwa salary scale according to hio taasisi?
6.Je wewe sio MPUMBAVU😃😃 kwa kusema kwamba TANAPA,TRA na LATRA ni kada,wakati hizo ni taasisi?
😆😆
NOTE
Wengi wanaoponda MD ni waliofeli secondary kua MD sababu maksi hazikutosha sasa wanajifariji kwa kusingizia MD wanalipwa kidogo
Mzee Umechanganya Reply 😅😅MD aajiriwe TRA kwa kazi gani? Mwanasheria anaajiriwa TRA kwasababu ya kufanya kazi za kisheria ama accountant kazi za kiuhasibu, IT kazi zinazohusiana na mifumo ya computer ya taasisi.
Upo kimya sana mkuuUtayakosa mema ya nchi, wewe inabid uwe chawa wangu mdogo angu
Tulinganishe Mwanasheria aliyeajiriwa Kwemye Taasisi yoyote na Daktari aliyeajiriwa Kwenye Taasisi yoyote ile kama Muhimbili,MOI, ocean road na NIMRSasa BOT kwa mfano waajiri Daktari kwa kazi gani?
Ninachofahamu kila taasisi ya umma iwe serikali kuu ama halmashauri lazima kuwe na wanasheria ama wahasibu piga ua hawakosekani.
Lakini sio kila taasisi ya umma wanaajiri madaktari maana mfano TPDC wataajiri mwanasheria kwa ajili ya ushauri ama kusimamia masuala yote ya kisheria , mhasibu kwa ajili ya mahesabu na kumbukumbu za taasisi ama IT kwa ajili ya mifumo ya kieletroniki.
Mtu akiumwa anaenda hospitali ya kawaida sasa huyo MD aajiriwe TPDC kwa kazi gani?
Nimefanya kazi taasisi nyingi na kwenye kampuni binafsi ninachojua kote huko kuna wanasheria wa taasisi/kampuni lakini sijawahi kuona daktari wa kampuni.
Mbona Mwanza kuna AgakhanAga Khan Mkuu iko moja tu ya Dar. We unaongea kama vile Mikoa yote kuna Aga Khan.
Hizo minorities haziwezi kuwa mfano bora wa kujadili.
Soon mkuu, harakat kidogo zikawq mingiUpo kimya sana mkuu
Kama ukiajiriwa Serikalini kuu na Tamisemi utalipwa 2.4 ila ukiahiriwa kwenye Taasisi unachezea kwemye 3 mpaka 5 na hasa hivi vyuo vina Hela sana unapiga Post graduate Ya Elimu ya watu wazima unafundisha mama Assistant LuctrerIli uje ulipwe millioni 2.2 ya kuanzia. Humu tuuu...
AGhakan ipo Tanzania nzma achana naye huyo HaterMbona Mwanza kuna Agakhan