Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.Wewe si umesema hautanijibu Tena?🤣🤣🤣 Umeona sasa! Ndio mana nakwambia WEWE BADO SANA
Sio mbaya sana, maana ukitoa mkopo HESLB inafika milioni moja?Nimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Sawa Mimi nimpumbavu mwenye hela sio mbaya, #vyetikabatini weka namba nikutumie hata 100k unaonekana haupo sawa1.Wewe si umesema hautanijibu Tena?
2.Bado sana kwenye nini?,
3.Mi natoa nondo na kujibu Kila quote kwa hoja na reference,wewe unajichekesha
4.Tupo hapa kuwa pre empties WAPUMBAVU kama nyie munaoami ujinga ni gharama nafuu kuliko elimu
Usione nakosea hata kuandika nipo busy Sana dogo sina MDA wa kuandika namba hizo kupoteza mda1.Wewe si umesema hautanijibu Tena?
2.Bado sana kwenye nini?,
3.Mi natoa nondo na kujibu Kila quote kwa hoja na reference,wewe unajichekesha
4.Tupo hapa kuwa pre empties WAPUMBAVU kama nyie munaoami ujinga ni gharama nafuu kuliko elimu
Ukiwa huna mkopo hizo 229k jumlisha hapo chini. Wengi hatuwezi kukwepa mkopo. hiyo nhif ni muhimu sanaNimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Hivi ku-bet ni dalili ya kuwa na fedha au kutokuwa na fedha? Hwezi ku-bet kama huna fedha i.e ku-bet kunaonyesha anaye-bet ana fedha!Ndo maana madaktari wanabet
Hii ndiyo tunaiita kengewa hahaBraza nilishawah pata kazi flan kirahis mnoooo na ile kazi sikua hata naona ninachokifanya mpaka (honestly) siku nikamfuata msaidizi /chawa wa director nikamuuliza "hivi hakuna kazi zingine za kufanya zaidi ya hizi?? Mbona naona kama sifanya kazi hapa inayoe dana na mshahara mnaonilipa" kazi muda mwingi ni vikao vikao tuuuu na kuandika andika report, i was employed as an IT personelly lakin nikajua hapo ni mwendonwa software development tu ila kutwa nacheza na excel halaf sasa uliza mshahara, nilikua nalipwa milion 3.5 kwa mwezi.
Na kaz ilikua full kusafir, na kila ukisafir per dm 80k every day nje ya ofisi hapo umeshalipowa hotel, na chakula, ukiwa kwenye movement ya kiofisi ni gari. Unakula pipa mara 2 hadi 3 kwa week.
Ukija kusanya per dm mpaka mwez unaisha sio chini ya 1.5milion nje ya mshahara..
Jibu hoja mkuu acha porojo,Usione nakosea hata kuandika nipo busy Sana dogo sina MDA wa kuandika namba hizo kupoteza mda
1.Katika nchi masikini kama Tanzania,MD WA local government Wana njaa ukicompare na taaluma zipi za local government?MDs wengi wana njaa hasa hawa wa local government.
Mshahara mdogo matarajio ya jamii makubwa.
Wanaishia kwenye mikopo ya kinyonyaji.
1.Pesa kiasi gani?,maana hata mtu anayelipwa 2M hapa bongo nintajiri mno kwa GDP yetu ila ukienda U.S huyo ni masikini wa kutupwaSawa Mimi nimpumbavu mwenye hela sio mbaya, #vyetikabatini weka namba nikutumie hata 100k unaonekana haupo sawa
1.Je mshahara utabaki hivo hivo hadi anastaafu?Mkopo 32,000,000 hiyo analipa mpaka anastaafu wanachukua na kiinua mgongo.
Na kuna wale wajinga wamesoma rusia mikopo mikubwa sijui watalipaje mana labda heslb wauze nyumba watakazo jenga
Halafu familia wanakuona una pesa sana.Nimeona salary slip ya mshahara wa daktari, yaani miaka yote halafu unaishia kulipwa hivi? View attachment 3043955
Unaamini watu wote hapa duniani tunapaswa kufanya biashara?1.Je mshahara utabaki hivo hivo hadi anastaafu?
2.Hawezi kufungua biashara akafanikiwa kulipa huo mkopo?
3.Ni kweli ulishindwa kujiuliza swali namba 1 na 2?,je wewe sio MPUMBAVU😆😀
Kama tu nilivosiamini ya kua ukishindwa/usipotaka kua daktari lazima ufanikiwe?😀Unaamini watu wote hapa duniani tunapaswa kufanya biashara?