Unasubiri mwaka mpya wapi na Uko Bia ya Ngapi!?

Unasubiri mwaka mpya wapi na Uko Bia ya Ngapi!?

Haina mbwembwe hapa kiutu uzima nasubiri mwaka .
1483212338741.jpg
 
Niko na Serengeti ya tatu mdogo mdogo naogopa kufloat mapema niko jijini mwanza, BTw watoto wazuri pia wamenizunguka muda huu Wao nimewaambia waagize kile wanataka naona wanaleta usasa wa sprit drinks Hennessy, Grants na Whindoek Mdau nipo na Serengeti na Mnyama Safari pia Naamini katika local beers zaidi, Je mwana Jf mwenzangu uko kiwanja kipi sasa na uko beer ya ngapi?


Cheeeeers
Hebu kesha kwa kusali na kuomba kwa mungu maana upo kwa uweza wake,pombe haina maana kama yy,
 
Niko na Serengeti ya tatu mdogo mdogo naogopa kufloat mapema niko jijini mwanza, BTw watoto wazuri pia wamenizunguka muda huu Wao nimewaambia waagize kile wanataka naona wanaleta usasa wa sprit drinks Hennessy, Grants na Whindoek Mdau nipo na Serengeti na Mnyama Safari pia Naamini katika local beers zaidi, Je mwana Jf mwenzangu uko kiwanja kipi sasa na uko beer ya ngapi?


Cheeeeers
Nipo matema beach, nimekuja huku na wife, tutaupokea mwaka mpya huku huku.
Castle lite ya tano hii naishusha taratiiiiiibuuuuuu na nyama choma, huku upepo mwanana wa ziwa Nyasa ukitupepea
 
nipo zangu hom nacheki muvi taratibu nashusha na mzinga wa konyagi nikiusubili mwaka.
 
Nipo La stanza Goba, nakunywa juice yangu taratiibu ingawa kampani niliyonayo wanajiburudisha na bia
 
Back
Top Bottom