Unasubiri nini kuwa mwana CCM?

Unasubiri nini kuwa mwana CCM?

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.

Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.

Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.
 
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.
Mkuu Pantosha , asante sana kwa bandiko hili, ila humu JF ukizungumzia kujiunga CCM... angalia kilichonikuta siku natangaza kujiunga CCM, nilitangaza siku ya tarehe 1 April, bandiko lile likafutiliwa mbali eti ni siku ya wajinga!. Nikatoa ushauri huu Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair
Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.

Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.
Naunga mkono hoja, na sio hivyo, kwa Tanzania mpaka hapa tulipo, chama cha siasa kwa maana halisi ya chama cha siasa chenye ability, capabilities and the capacity is only one, the one and only CCM!.

Japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, ukweli halisi wa vyama vingi ni vyama vingi jina tuu, lakini Tanzania ni nchi ya chama kimoja, CCM ambacho sio tuu ni chama pekee cha siasa, bali pia ni chama dola!. CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! kimezungukwa vyama ambayo ni mfano vyama!.

Kufuatia Tanzania kukosa upinzani wa kweli, CCM Itaendelea kutawala milele!. Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.

Japo kuna watu wana matumaini kuwa one day upinzani utakuja kushika dola, niliwahi kuwaambia Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla

Na kitakacho ifanye CCM itawale milele ni matumizi ya mbinu zinazoitwa hooks and crooks CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?

P
 
Kwenye kuijongezea wanachama hapo sikweli

Kwasasa imejijengea utaratibu wa kuwapunguza ,rejea ngorongoro juzi wanachama walivyorudisha Kadi za ccm

Kumbuka ,uwanachama ni Kadi ya Chama au mmeamua kubakia na wakereketwa
 
Wewe unapaswa kupelekwa milembe kabla hujaanza kuokota makopo jalalani, huo ni wehu una kusumbua kichwa
 
Mkuu Pantosha , asante sana kwa bandiko hili, ila humu JF ukizungumzia kujiunga CCM... angalia kilichonikuta siku natangaza kujiunga CCM, nilitangaza siku ya tarehe 1 April, bandiko lile likafutiliwa mbali eti ni siku ya wajinga!. Nikatoa ushauri huu Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair

Naunga mkono hoja, na sio hivyo, kwa Tanzania mpaka hapa tulipo, chama cha siasa kwa maana halisi ya chama cha siasa chenye ability, capabilities and the capacity is only one, the one and only CCM!.

P
Only fools will support you.
 
Mkuu Pantosha , asante sana kwa bandiko hili, ila humu JF ukizungumzia kujiunga CCM... angalia kilichonikuta siku natangaza kujiunga CCM, nilitangaza siku ya tarehe 1 April, bandiko lile likafutiliwa mbali eti ni siku ya wajinga!. Nikatoa ushauri huu Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair

Naunga mkono hoja, na sio hivyo, kwa Tanzania mpaka hapa tulipo, chama cha siasa kwa maana halisi ya chama cha siasa chenye ability, capabilities and the capacity is only one, the one and only CCM!.

P
Pumba!
 
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.

Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.

Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.
Tutajuaje kama nyie mna misingi imara wakati hanruhusu vyama vingine kufanya siasa huru na kushinda uchaguzi wa halali.

Tanzania ndio nchi pekee afrika inayoongozwa na Chama kimoja tangu tupate uhuru. Mfumo ni wa vyama vingi, ila kinachoongoza ni chama kimoja.

Alafu unakuja hapa kutueleza ushuzi, utafikiri hatuijui CCM.
 
Mkuu Pantosha , asante sana kwa bandiko hili, ila humu JF ukizungumzia kujiunga CCM... angalia kilichonikuta siku natangaza kujiunga CCM, nilitangaza siku ya tarehe 1 April, bandiko lile likafutiliwa mbali eti ni siku ya wajinga!. Nikatoa ushauri huu Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair

Naunga mkono hoja, na sio hivyo, kwa Tanzania mpaka hapa tulipo, chama cha siasa kwa maana halisi ya chama cha siasa chenye ability, capabilities and the capacity is only one, the one and only CCM!.

Japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, ukweli halisi wa vyama vingi ni vyama vingi jina tuu, lakini Tanzania ni nchi ya chama kimoja, CCM ambacho sio tuu ni chama pekee cha siasa, bali pia ni chama dola!. CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! kimezungukwa vyama ambayo ni mfano vyama!.

Kufuatia Tanzania kukosa upinzani wa kweli, CCM Itaendelea kutawala milele!. Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.

Japo kuna watu wana matumaini kuwa one day upinzani utakuja kushika dola, niliwahi kuwaambia Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla

Na kitakacho ifanye CCM itawale milele ni matumizi ya mbinu zinazoitwa hooks and crooks CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?

P
Hapo kwenye milele ndiyo unadhihirisha kuwa una tatizo kichwani,nafikiri ni athari za ile ajali. Siamini kama ulizaliwa hivyo kama wengine wanavyo suggest. Au Black Label fake zinazingua?
 
Back
Top Bottom