Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mkuu wewe kuangalia kadi za kliniki za wanao ni kosa? Yani ni mpaka uombe ruhusa kwa wife?
Hebu kuwa serious mkuu, wewe chukua kadi za wanao wote kisha angalia kila mmoja amescore ngapi out of 10.
Ahaaa kumbe siku hizi mmeipiku hata ANC kwa ukongwe?😂😂😂😂😂CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.
Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.
Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.