Unasubiri nini kuwa mwana CCM?

Unasubiri nini kuwa mwana CCM?

Asante

Asante, na hivyo ndivyo katiba yetu inavyosema!, kujiunga na chama cha siasa ni hiyari, ila kwa Tanzania, kipengele hicho kimechakachuliwa kwa ubatili kwa kuchomekewa kipengele batili ili Mtanzania kugombea nafasi yoyote ya uongozi wa umma ni lazima ujiunge na chama cha siasa, hivyo kuna Watanzania, hawapendi kujiunga na chama chochote, lakini wanataka kuwatumikia Watanzania, hivyo kulazimika kujiunga na chama cha siasa!.

Watu watakuja na watapita CCM ni ile ile juzi, jana, leo, kesho na hata milele!.

Sii kweli kuwa CCM imejaa, hao watu wapo sio CCM pekee bali kote na vyama vyote watu hao wapo!.

Let's assume you are right, but kwa hali ya siasa za Tanzania, CCM isipochaguliwa kuna chama gani kingine chenye ability, capacity na capability kutawala nchi yetu?

duh...!

Hili hata mimi nililisemea Uteuzi wa Dkt. Bashiru Ally, Pasco Mayalla kawa kimya

Naunga mkono hoja na hili mimi pia nimelisema CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! na hapa CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali? na hapa Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla

Sii kweli mambo mbona ni supper sana tuu!.

Hili nililishauri kabla Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa! na nikawapa the consequences. Sikuishia hapo baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa, nikashauri tena Ushindi mtamu ni ushindani katika uwanja sawa, sio ule wa mezani. Magufuli, kasi yako ni ushindi wa kishindo. Ruhusu ushindani wa haki, sawa na wazi haikusaidia kitu, hivyo the consequences happened!.

Sii kweli

Asante nimekusikia!.
P
Sijajua labda unipe darasa, natumia simu kuchart jamii forum, nashindwa kutag paragraphs kwenye texts ili nikujibu vizuri kama unavyofanya wewe. Lakini usijidanganye, viongozi CCM hawajashushwa toka kwenye mwezi, ni sisi wananchi haohao tunaovianzisha hivi vyama vya siasa. Sikulahumu kuwa CCM, lakini nipongeze mimi pia kuwa na chama chenye mlengo thabiti na msimamo imara wa kuwatumikia wananchi, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo "CHADEMA".
 
Tlaatlaah: uchaguzi wa chama cha siasa ni Uhuru na hiari ya mtu. Kwangu mimi chama ulichokipa sifa ulizozitaja hapo juu ni Chadema. Kwasasa hakuna chama kingine chochote kilicho na viongozi wa juu wasioyumbishwa au kukatishwa tamaa kwa kuongwa wala kutishwa mbali na Chadema. Ni chama chenye sera zilizowazi, ingawa najua upotoshaji unaofanywa na ccm kuhusu sera za Chadema ni mkubwa mno. Ni chama kilicho na wafuasi ndani ya serikali na vyuo vya elimu ya juu kuliko CCM japo hawajiweki wazi kwasababu ya maslahi na woga wa kupoteza kazi.

Tumeona safari walioipitia CHADEMA hasa kipindi cha JPM. Viongozi maslahi wote walinunulika kama ilivyokuwa kwa Bashiru, ambae baadae alitumika kuwanunua wenzie toka vyama vya upinzani husisani chadema. Lakini pamoja na risasi, kubambikiwa kesi na vitisho vingine, viongozi wakuu hawajeteteleka na ndiyo wamekuwa sauti ya wananchi badala ya bunge letu la mchongo. Bunge ambalo hata Kinana wenye chama cha CCM amelilalamikia adharani.

Pamoja na propaganda za ovyo za kukipaka matope Chadema na viongozi wake zilizofanywa na CCM hasa kipindi cha Magufuli bado Chadema imesimama upande wa wananchi. Jiungeni CHADEMa wakati ni huu.
sawa muungwana mbussi mwanachama wa chadema, nadhani umeeleza vizuri sana na bilashaka kwa uzuri wa sera na mipango yenu Pascal Mayalla ataamua mwenyewe abaki au ajiunge nanyi kawasababu ni hiari kujiunga na chama chochote.

washaurini wanachama wenu wawe waungwana waache matusi. wa vyama vingine pia wajibu hoja kwa hoja.
 
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.

Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.

Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.
Migogoro ya hifadhi na Wananchi imewashinda,wanatatua migogoro ipi au ya ndoa!
 
Mkuu Pantosha , asante sana kwa bandiko hili, ila humu JF ukizungumzia kujiunga CCM... angalia kilichonikuta siku natangaza kujiunga CCM, nilitangaza siku ya tarehe 1 April, bandiko lile likafutiliwa mbali eti ni siku ya wajinga!. Nikatoa ushauri huu Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair

Naunga mkono hoja, na sio hivyo, kwa Tanzania mpaka hapa tulipo, chama cha siasa kwa maana halisi ya chama cha siasa chenye ability, capabilities and the capacity is only one, the one and only CCM!.

Japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, ukweli halisi wa vyama vingi ni vyama vingi jina tuu, lakini Tanzania ni nchi ya chama kimoja, CCM ambacho sio tuu ni chama pekee cha siasa, bali pia ni chama dola!. CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! kimezungukwa vyama ambayo ni mfano vyama!.

Kufuatia Tanzania kukosa upinzani wa kweli, CCM Itaendelea kutawala milele!. Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.

Japo kuna watu wana matumaini kuwa one day upinzani utakuja kushika dola, niliwahi kuwaambia Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla

Na kitakacho ifanye CCM itawale milele ni matumizi ya mbinu zinazoitwa hooks and crooks CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?

P
Kwanini tusiwape CHADEMA ili nao tuone ability and capability yao.Chama chenye capability hakiwezi kuwalinda viongozi Wala rushwa na wababaishaji wanaoingiza nchi kwenye mikataba ya ovyo.
 
Mkuu Pantosha , asante sana kwa bandiko hili, ila humu JF ukizungumzia kujiunga CCM... angalia kilichonikuta siku natangaza kujiunga CCM, nilitangaza siku ya tarehe 1 April, bandiko lile likafutiliwa mbali eti ni siku ya wajinga!. Nikatoa ushauri huu Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair

Naunga mkono hoja, na sio hivyo, kwa Tanzania mpaka hapa tulipo, chama cha siasa kwa maana halisi ya chama cha siasa chenye ability, capabilities and the capacity is only one, the one and only CCM!.

Japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, ukweli halisi wa vyama vingi ni vyama vingi jina tuu, lakini Tanzania ni nchi ya chama kimoja, CCM ambacho sio tuu ni chama pekee cha siasa, bali pia ni chama dola!. CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! kimezungukwa vyama ambayo ni mfano vyama!.

Kufuatia Tanzania kukosa upinzani wa kweli, CCM Itaendelea kutawala milele!. Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.

Japo kuna watu wana matumaini kuwa one day upinzani utakuja kushika dola, niliwahi kuwaambia Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla

Na kitakacho ifanye CCM itawale milele ni matumizi ya mbinu zinazoitwa hooks and crooks CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?

P
Uongozi wa JF kama vile wanavuta weed wakiwa ofisini
 
sawa muungwana mbussi mwanachama wa chadema, nadhani umeeleza vizuri sana na bilashaka kwa uzuri wa sera na mipango yenu Pascal Mayalla ataamua mwenyewe abaki au ajiunge nanyi kawasababu ni hiari kujiunga na chama chochote.

washaurini wanachama wenu wawe waungwana waache matusi. wa vyama vingine pia wajibu hoja kwa hoja.
Tlaatlaah, naomba uwe hakimu mzuri na uhukumu kwa haki. Chadema siku zote ni waungwana sana tena sana. Watukanaji wazuri ni CCM, waanzisha fujo ni CCM, uongo, propaganda chafu nk. ni CCM. Nikukumbushe tu, ni nani alianzisha propaganda kwamba Lowasa ni mgojwa atafia madarakani na wengine wakaanza kupiga push up, je, ni Chadema.? Ni nani utuma polisi kuwapiga mabomu kwenye mikutano yao ya adhara? Nichukue mfano wa juzijuzi; Chadema akiwa na mikutano halali wa adhara viwanja vya Furahisha Mwanza, CCM wakamleta Daimond apige bure mziki uwanja wa CCM Kirumba, mita mia toka kwenye mkutano. Hivi hapa mchokozi ni nani? Katika chaguzi vijana wa Chadema ukatwa na kubambikiwa kesi. Bado yote hayo uoni. Let's be realistic, ata kama si mwanachama wa hicho chama.

Nikuambie ukweli, CCM kwenye sanduku la kura bila kutumia hira, wizi na mabavu hawana chao. Kimebaki chama Cha watafuta vyeo na maslahi, si chama kinachowatumikia wananchi tena. Paskali amesema CCM ni ileile, jana, leo na kesho. Nampa big no!!
 
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.

Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.

Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.
Ili uwe sehemu ya maendeleo ya nchi lazima uwe mwanaCCM? Sijajua umesema kwa utani au umedhamiria...hakuna mwanaccm yeyote anaependa maendeleo ya nchi hii.
Wanaccm wanataka maendeleo ya CCM kama Chama pamoja na maendeleo yao binafsi.
 
Asante

Asante, na hivyo ndivyo katiba yetu inavyosema!, kujiunga na chama cha siasa ni hiyari, ila kwa Tanzania, kipengele hicho kimechakachuliwa kwa ubatili kwa kuchomekewa kipengele batili ili Mtanzania kugombea nafasi yoyote ya uongozi wa umma ni lazima ujiunge na chama cha siasa, hivyo kuna Watanzania, hawapendi kujiunga na chama chochote, lakini wanataka kuwatumikia Watanzania, hivyo kulazimika kujiunga na chama cha siasa!.

Watu watakuja na watapita CCM ni ile ile juzi, jana, leo, kesho na hata milele!.

Sii kweli kuwa CCM imejaa, hao watu wapo sio CCM pekee bali kote na vyama vyote watu hao wapo!.

Let's assume you are right, but kwa hali ya siasa za Tanzania, CCM isipochaguliwa kuna chama gani kingine chenye ability, capacity na capability kutawala nchi yetu?

duh...!

Hili hata mimi nililisemea Uteuzi wa Dkt. Bashiru Ally, Pasco Mayalla kawa kimya

Naunga mkono hoja na hili mimi pia nimelisema CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! na hapa CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali? na hapa Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla

Sii kweli mambo mbona ni supper sana tuu!.

Hili nililishauri kabla Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa! na nikawapa the consequences. Sikuishia hapo baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa, nikashauri tena Ushindi mtamu ni ushindani katika uwanja sawa, sio ule wa mezani. Magufuli, kasi yako ni ushindi wa kishindo. Ruhusu ushindani wa haki, sawa na wazi haikusaidia kitu, hivyo the consequences happened!.

Sii kweli

Asante nimekusikia!.
P
Last but not least, ndugu Mayalla, natatika kutag paragraph moja badala ya text yote ili ni kujibu, lakini nimeshidwa. Umesema hakuna chama chenye uwezo wa kuchukua madaraka nje ya CCM?? Big no my brother.

Katika kutafuta maisha nilibahatika kufanya kazi na mtu mmoja nje ya nchi, ambae kwa nafasi yangu tulikuwa tuki-interact mara kwa mara japokuwa yeye alikuwa boss mkubwa sana kutokana na jukumu alilokuwa amekabidhiwa kulisimamia. Sikujua kama huyo mtu angekuja kufanya aliyoyafanya.

CCM inakuwa madarakani kwa Sababu ya wizi wa kura, ubabe na mabavu ya vyombo vya dola. Lakini uwezi amini huyo mtu niliyemsimulia hapo juu nae alikuja kuwa mtu mkubwa aliyeaminiwa na serikali yake ambaye ndiye huyohuyo Jenerali Brice Oligui Nguema aliyeipindua Serikali ya Alli Bongo wa Gabon. Tumikieni watu, msitegemee kubaki madarakani kwa Sababu ya bunduki. Chama kizuri na kiongozi mzuri ni yule anaejenga Imani kwa watu, si yule anaetumia mabavu kuhalalisha utawala wake.

CCM kwa sasa ina sera zilibakia kwenye makaratasi. Kila Rais anaekuja anafanya anavyotaka yeye. Badala ya kujenga mifumo na taasisi imara, nyie mnasubiri fix za viongozi na matamko. Tuliona sarakasi na matamko ya kila aina kwenye hawamu iliyopita. Ni chama kinachoongoza nchi bila dira. Nikuulizeni maswali mafupi: Sera ya elimu ni hipi? Je, Afya, je huduma nyingine za jamii. Kifupi ni kwamba hakuna sera, kila awamu inajiendea inavyojua na mbwembwe kibao. Tuliona elimu bure, sawa shule zikajegwa sawa lakini shule nyingi za pembezoni wanafunzi elfu moja, walimu 10. Hivyohivyo kwenye mahospital nk. Hivi mnamkomoa nani?Tumeona watu wakipiga dawa za kuuwa mende kwenye maghoropha ya Kariakoo eti kuuwa wa COVID 19, walimu wakipigwa viboko na kuswekwa ndani na wengine kushwa vyeo baada ya wanafunzi kufeli badala ya kutafuta chanzo. Hiyo ndiyo CCM mnayojivunia, yaani akili zimewagota? hatuwezi tena kufikiri zaidi? Yule alifuta masomo ya kilimo na biashara, hatui atakaekuja atafuta yapi.....

Nikikuuliza tena sera ya CCM, je Tanzania ni nchi inayofuata mfumo upi wa uchumi. Je, ni ubepari au ujamaa. Nadhani mtajiuma na mpaka kesho jibu sitopata. Kuna tatizo kubwa Ila hamulioni. Mmtekwa na ghiriba za wanasiasa. Badilikeni acheni ushabiki na ubinafsi wa kutafuta teuzi. Watoto na wajukuu zetu watatulilia.
 
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.

Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.

Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.
Rubbish
 
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.

Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.

Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.
Watanzania wote ni sehemu ya maendeleo ya nchi na wala si kwa sababu ya CCM na asilimia 80 walishaachana na CCM siku nyingi ndio maana CCM imebaki na kete moja tu ya Wizi wa kura tu kwenye uchaguzi maana wanajua bila hivyo hawawezi kuongoza dola ,nje ya hapo ndani ya CCM hakuna kitu.Kama huamini maneno haya omba chama chako cha CCM na serikali yake kilete Tume huru ya Uchaguzi na katiba mpya kama kweli kina nia njema na watanzania,alafu baada ya hayo kufanyika Uje tujadili maendeleo ya Taifa hili.
 
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.

Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.

Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.
Kama ni kikongwe huoni kuwa kitakuwa kimepitwa na wakati?
 
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.

Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.

Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.
Umesahau sifa nyingi za ccm moja wapo bila kutoa rushwa jinalako linakatwa hata kama unagombea ubalozi wa nyumba kumi,lazima uwe na mtaji wa kitita cha hela ya rushwa kupitisha jina lako pia ccm bila kuwa,mwanga,mlozi na mshirikina utoboi
 
Ninazo hapa kadi yangu na za vijana wangu walinibwagia hapa, tena za ki electronic, anayezitaka aje nitampa
 
Taifa hili ni maskini hadi leo.. miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru kwa sababu ya hiki chama! ni huzuni kwakweli
 
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.

Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.

Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.
Matarajio yapi mkuu ?
 
Mkuu Pantosha , asante sana kwa bandiko hili, ila humu JF ukizungumzia kujiunga CCM... angalia kilichonikuta siku natangaza kujiunga CCM, nilitangaza siku ya tarehe 1 April, bandiko lile likafutiliwa mbali eti ni siku ya wajinga!. Nikatoa ushauri huu Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair

Naunga mkono hoja, na sio hivyo, kwa Tanzania mpaka hapa tulipo, chama cha siasa kwa maana halisi ya chama cha siasa chenye ability, capabilities and the capacity is only one, the one and only CCM!.

Japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, ukweli halisi wa vyama vingi ni vyama vingi jina tuu, lakini Tanzania ni nchi ya chama kimoja, CCM ambacho sio tuu ni chama pekee cha siasa, bali pia ni chama dola!. CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! kimezungukwa vyama ambayo ni mfano vyama!.

Kufuatia Tanzania kukosa upinzani wa kweli, CCM Itaendelea kutawala milele!. Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.

Japo kuna watu wana matumaini kuwa one day upinzani utakuja kushika dola, niliwahi kuwaambia Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla

Na kitakacho ifanye CCM itawale milele ni matumizi ya mbinu zinazoitwa hooks and crooks CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?

P
Bado unaendelea tu kung’ata na kupuliza kuhusu CCM?! Ukipata teuzi utakuwa kama Sabaya, kwa kweli wewe sio mtu mzuri ndani ya moyo wako!
 
Back
Top Bottom