Unasubiri nini kuwa mwana CCM?

Unasubiri nini kuwa mwana CCM?

Mkuu Pantosha , asante sana kwa bandiko hili, ila humu JF ukizungumzia kujiunga CCM... angalia kilichonikuta siku natangaza kujiunga CCM, nilitangaza siku ya tarehe 1 April, bandiko lile likafutiliwa mbali eti ni siku ya wajinga!. Nikatoa ushauri huu Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair

Naunga mkono hoja, na sio hivyo, kwa Tanzania mpaka hapa tulipo, chama cha siasa kwa maana halisi ya chama cha siasa chenye ability, capabilities and the capacity is only one, the one and only CCM!.

Japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, ukweli halisi wa vyama vingi ni vyama vingi jina tuu, lakini Tanzania ni nchi ya chama kimoja, CCM ambacho sio tuu ni chama pekee cha siasa, bali pia ni chama dola!. CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! kimezungukwa vyama ambayo ni mfano vyama!.

Kufuatia Tanzania kukosa upinzani wa kweli, CCM Itaendelea kutawala milele!. Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.

Japo kuna watu wana matumaini kuwa one day upinzani utakuja kushika dola, niliwahi kuwaambia Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla

Na kitakacho ifanye CCM itawale milele ni matumizi ya mbinu zinazoitwa hooks and crooks CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?

P
Namalizia hoja kwa kusema kuwa, pamoja na misingi yoote imara ya CCM iliyowekwa kwa jasho na damu ya Watanzania na waasisi wa hiki chama, leo wameishia kujenga mabua kwenye msingi wa gotofa.

Aliimba marehemu John Komba enzi hizo nikiwa bado primary 🎶🎵Toka lini tofali la barafu likajenga nyumba🎶🎵
Hivyo maneno unayoyazungumza leo kuhusu uimara wa CCM ni kujilisha upepo.

Jiulize ama tafakari kama CCM ni chama adidi, kulikoni kinafanya wizi wa kutisha wa kura? Kwa nini vyombo vya dola vinatumika kwa gharama kubwa kuhakikisha kinasalia madarakani?

Hivyo basi, kukiunga kwako mkono ni jambo binafsi na halizungumzi mawazo na hisia za wengi. Hata mimi kukikataa ni jambo langu binafsi kwa mawazo na hisia zangu bali ukweli unaonekana kwa macho na siyo nadharia
 
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.

Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.

Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.
Nimeishiwa akili?
CCM je ni chama cha wakulima na wafanyakazi?
Je ni aina gani ya ujamaa kinayoisimamia?
Hiki chama kimelihujumu sana taifa letu
 
Mfano halisi ya BRN na shule za kata umeyaona mtoa mada? Miaka 60+ baada ya uhuru bado tunapambana na malaria / kipindupindu kweli?
 
Mkuu Pantosha , asante sana kwa bandiko hili, ila humu JF ukizungumzia kujiunga CCM... angalia kilichonikuta siku natangaza kujiunga CCM, nilitangaza siku ya tarehe 1 April, bandiko lile likafutiliwa mbali eti ni siku ya wajinga!. Nikatoa ushauri huu Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair

Naunga mkono hoja, na sio hivyo, kwa Tanzania mpaka hapa tulipo, chama cha siasa kwa maana halisi ya chama cha siasa chenye ability, capabilities and the capacity is only one, the one and only CCM!.

Japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, ukweli halisi wa vyama vingi ni vyama vingi jina tuu, lakini Tanzania ni nchi ya chama kimoja, CCM ambacho sio tuu ni chama pekee cha siasa, bali pia ni chama dola!. CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! kimezungukwa vyama ambayo ni mfano vyama!.

Kufuatia Tanzania kukosa upinzani wa kweli, CCM Itaendelea kutawala milele!. Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.

Japo kuna watu wana matumaini kuwa one day upinzani utakuja kushika dola, niliwahi kuwaambia Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla

Na kitakacho ifanye CCM itawale milele ni matumizi ya mbinu zinazoitwa hooks and crooks CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?

P
nachoshangaaga sana ni kwamba mwenye mtazamo tofauti na huu wako ambao pia ni chanya kuihusu CCM, kuna jamaa anakuja kutukana badala nae apambanue walau kwa uchache ubora na uzuri wa chama alichoko ili hatimae, watakaovutiwa wajiunge nae.
Matokeo yake sasa anatukana na dhihaka kama zote....

sasa kwenye mitusi na mihemko ya dhihaka kama hivo profesa gani au dr gani au elite class gani atajiunga na kundi kama hilo?
defnetly itakua labda ni dr.slaa na prof. lwaitama ndio pekee wanaweza kuishi kwenye mazingira hayo kwasababu hawana pa kwenda kujificha😳.

Hongera kwa Msimamo thabiti kwa chama chako, im sure utafika mbali vuta subra, kuwa mstahimilivu@Pascal Mayalla
 
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.

Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.

Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.
 
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.

Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.

Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.
Naomba ufafanuzi zaid kuhusu vipengele hapo chini 👇👇 maana nawashawish watanzania wajiunge na CCM lkn wananihoji hayo maswal ila mi nimechemka kujibu.. msaada wako mwana CCM mwenzangu!
 

Attachments

  • 1687761662681.jpeg
    1687761662681.jpeg
    136.5 KB · Views: 1
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.

Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.

Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.


Hivi mbona mnakuwa wazembe hivi? Namba ya simu iko wapi sasa ndugu?
 
Safari hii nasikia kura zitatokea Zanzibar Peke yake....haijalishi?

Watanganyika, wamegawanyika....haijalishi?

Ufisadi ndii Mapinduzi mapya...haijalishi?

Tumewekwa rehani....haijalishi?

Bila kujali, nasubiri Kurudisha kadi na kujivua UCCM.


Umoja mpooo
Watanganyika Mpoooo?
Washindwe maadui wetu
Washindwe mahasimu wetu
Washindwe Vibaraka wa mabeberu.

Aluta Continua
 
Tuwaachie CCM waamue wanachotaka wao. Kuhusu maendeleo tukayaombe makanisani au tusubiri mpaka jeshi litakapoisaliti CCM na kuinyofoa madarakani kwa nguvu.
 
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.

Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi katika ngazi tofauti tofauti wanapambana kuakikisha wanahudumia wananchi kama ilani ijavyoelekeza.

Jiunge CCM leo uwe sehemu ya maendeleo ya nchi.
Rubbish
 
Mkuu Pantosha , asante sana kwa bandiko hili, ila humu JF ukizungumzia kujiunga CCM... angalia kilichonikuta siku natangaza kujiunga CCM, nilitangaza siku ya tarehe 1 April, bandiko lile likafutiliwa mbali eti ni siku ya wajinga!. Nikatoa ushauri huu Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fair

Naunga mkono hoja, na sio hivyo, kwa Tanzania mpaka hapa tulipo, chama cha siasa kwa maana halisi ya chama cha siasa chenye ability, capabilities and the capacity is only one, the one and only CCM!.

Japo nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, ukweli halisi wa vyama vingi ni vyama vingi jina tuu, lakini Tanzania ni nchi ya chama kimoja, CCM ambacho sio tuu ni chama pekee cha siasa, bali pia ni chama dola!. CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! kimezungukwa vyama ambayo ni mfano vyama!.

Kufuatia Tanzania kukosa upinzani wa kweli, CCM Itaendelea kutawala milele!. Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.

Japo kuna watu wana matumaini kuwa one day upinzani utakuja kushika dola, niliwahi kuwaambia Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla

Na kitakacho ifanye CCM itawale milele ni matumizi ya mbinu zinazoitwa hooks and crooks CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?

P
Mkuu Paschal Mayalla, nimekutag kwasababu wewe ni mtu unaefahamika. Nataka nikupe neno.

Kila mtu ana haki na Uhuru wa kujiunga na chama chochota cha siasa, hivyo ni haki yako kuwa mwana CCM. Chama uundwa na watu, na si kwamba watu walioanzisha CCM bado ni walewale, hapana CCM unayoizungumzia leo ni tofauti kabisa na CCM ya kina Nyerere. Ni CCM iliyojaa wezi, wala rushwa na viongozi wenye tamaa.

CCM imefikia hatua ya kukiuka misingi ya utawala Bora. Kuna mengi ya kuongea ktk hili lakini ngoja nichomoe moja kwasababu hii thread sikuianzisha Mimi. Bila rushwa, tume ya ovyo ya uchaguzi na matumizi ya nguvu za vyombo vya dola, CCM ya leo haiwezi kushinda uchaguzi. Ni chama kilichochokwa na watu wenye akili.

CCM imefikia hadi kuonga vyeo vya utumishi wa umma kwa wanasiasa. Mwanzoni vyeo vya kiasa vilikuwa uDC na U-RC, lakini kwasasa hadi maDED, Wanajeshi, Mapolice kwa uchache wote wanafanya kazi za siasa za CCM ukiachia mbali aina wasomi Kama Bashiru, Kabudi, Mkumbo nk wanaonunulika kirahisi kwa kupewa madaraka au fedha. Bashiru kwa mf. Ili hali akijua kuwa kosa kubwa, alikubali kutoka ngazi ya juu ya utumishi wa chama kupelekwa ngazi ya juu ya utumishi wa umma. Chama Cha siasa kwenye mfumo wa siasa ya vyama vingi, kinakuwa kimefilisika hivyo utumia giribha na hila. Kinakuwepo madarakani kwasababu ya matumizi ya nguvu na wala si kwasababu ya sera zake wala hicho mnachokiita katiba Bora. Kuwa na sera ni jambo moja lakini utekelezaji wa hizo sera ni jambo kingine. Nakupa mfano mmoja kuonyesha kuwa CCM haina pumuzi ya kuongoza. Nadhani Sasa hivi unaona mambo yanavyoenda ovyo na nchi inaelekea kupigwa mnada (Ndungai). Kwenye ujambazi wa uchaguzi wa 2020 aliofanya JPM na genge lake la kina Bashiru na Polepole, CCM imeshika nafasi zote za uongozi kuanzia vitongoji hadi Raisi. Niambieni, ni jipya lipi imelifanya tofauti na wakati mwingine ambao ingawa kwa kuibiwa kulikuwa na mchanganyiko wa vyama vya siasa kwenye ngazi tofauti za uongozi?

Kwa hiyo ndugu yangu, najua unafagilia CCM kwasababu una jambo lako unalolitafuta, na umelitafuta kwa muda mrefu, siku ukichoka usitulahumu kuwa hatukukuambia. JPM aliteua wengi wasifiaji wake na watukanaji wa viongozi wa vyama vya upinzani, lakini kwa Samia si Sana. Tafuteni njia nyingine.
 
Mkuu Paschal Mayalla, nimekutag kwasababu wewe ni mtu unaefahamika. Nataka nikupe neno.

Kila mtu ana haki na Uhuru wa kujiunga na chama chochota cha siasa, hivyo ni haki yako kuwa mwana CCM. Chama uundwa na watu, na si kwamba watu walioanzisha CCM bado ni walewale, hapana CCM unayoizungumzia leo ni tofauti kabisa na CCM ya kina Nyerere. Ni CCM iliyojaa wezi, wala rushwa na viongozi wenye tamaa.

CCM imefikia hatua ya kukiuka misingi ya utawala Bora. Kuna mengi ya kuongea ktk hili lakini ngoja nichomoe moja kwasababu hii thread sikuianzisha Mimi. Bila rushwa, tume ya ovyo ya uchaguzi na matumizi ya nguvu za vyombo vya dola, CCM ya leo haiwezi kushinda uchaguzi. Ni chama kilichochokwa na watu wenye akili.

CCM imefikia hadi kuonga vyeo vya utumishi wa umma kwa wanasiasa. Mwanzoni vyeo vya kiasa vilikuwa uDC na U-RC, lakini kwasasa hadi maDED, Wanajeshi, Mapolice kwa uchache wote wanafanya kazi za siasa za CCM ukiachia mbali aina wasomi Kama Bashiru, Kabudi, Mkumbo nk wanaonunulika kirahisi kwa kupewa madaraka au fedha. Bashiru kwa mf. Ili hali akijua kuwa kosa kubwa, alikubali kutoka ngazi ya juu ya utumishi wa chama kupelekwa ngazi ya juu ya utumishi wa umma. Chama Cha siasa kwenye mfumo wa siasa ya vyama vingi, kinakuwa kimefilisika hivyo utumia giribha na hila. Kinakuwepo madarakani kwasababu ya matumizi ya nguvu na wala si kwasababu ya sera zake wala hicho mnachokiita katiba Bora. Kuwa na sera ni jambo moja lakini utekelezaji wa hizo sera ni jambo kingine. Nakupa mfano mmoja kuonyesha kuwa CCM haina pumuzi ya kuongoza. Nadhani Sasa hivi unaona mambo yanavyoenda ovyo na nchi inaelekea kupigwa mnada (Ndungai). Kwenye ujambazi wa uchaguzi wa 2020 aliofanya JPM na genge lake la kina Bashiru na Polepole, CCM imeshika nafasi zote za uongozi kuanzia vitongoji hadi Raisi. Niambieni, ni jipya lipi imelifanya tofauti na wakati mwingine ambao ingawa kwa kuibiwa kulikuwa na mchanganyiko wa vyama vya siasa kwenye ngazi tofauti za uongozi?

Kwa hiyo ndugu yangu, najua unafagilia CCM kwasababu una jambo lako unalolitafuta, na umelitafuta kwa muda mrefu, siku ukichoka usitulahumu kuwa hatukukuambia. JPM aliteua wengi wasifiaji wake na watukanaji wa viongozi wa vyama vya upinzani, lakini kwa Samia si Sana. Tafuteni njia nyingine.
umefunguka vizuri sana kuhusu ubovu wa ccm.

ebu mshauri basi huyu muungwana ajiunge na chama gani bora cha siasa na akashawishika na kuvutiwa haa na sera, uelekeo, ustaarabu, ukubwa zaid ya ccm?

sema tu usiogope kama wale wengine wanao washawishi watu usiichague ccm na kisha hawawaambii wachague nini badala ya ccm.
 
Mkuu Paschal Mayalla, nimekutag kwasababu wewe ni mtu unaefahamika. Nataka nikupe neno.
Asante
Kila mtu ana haki na Uhuru wa kujiunga na chama chochota cha siasa, hivyo ni haki yako kuwa mwana CCM.
Asante, na hivyo ndivyo katiba yetu inavyosema!, kujiunga na chama cha siasa ni hiyari, ila kwa Tanzania, kipengele hicho kimechakachuliwa kwa ubatili kwa kuchomekewa kipengele batili ili Mtanzania kugombea nafasi yoyote ya uongozi wa umma ni lazima ujiunge na chama cha siasa, hivyo kuna Watanzania, hawapendi kujiunga na chama chochote, lakini wanataka kuwatumikia Watanzania, hivyo kulazimika kujiunga na chama cha siasa!.
Chama uundwa na watu, na si kwamba watu walioanzisha CCM bado ni walewale, hapana CCM unayoizungumzia leo ni tofauti kabisa na CCM ya kina Nyerere.
Watu watakuja na watapita CCM ni ile ile juzi, jana, leo, kesho na hata milele!.
Ni CCM iliyojaa wezi, wala rushwa na viongozi wenye tamaa.
Sii kweli kuwa CCM imejaa, hao watu wapo sio CCM pekee bali kote na vyama vyote watu hao wapo!.
CCM imefikia hatua ya kukiuka misingi ya utawala Bora. Kuna mengi ya kuongea ktk hili lakini ngoja nichomoe moja kwasababu hii thread sikuianzisha Mimi. Bila rushwa, tume ya ovyo ya uchaguzi na matumizi ya nguvu za vyombo vya dola, CCM ya leo haiwezi kushinda uchaguzi. Ni chama kilichochokwa na watu wenye akili.
Let's assume you are right, but kwa hali ya siasa za Tanzania, CCM isipochaguliwa kuna chama gani kingine chenye ability, capacity na capability kutawala nchi yetu?
CCM imefikia hadi kuonga vyeo vya utumishi wa umma kwa wanasiasa. Mwanzoni vyeo vya kiasa vilikuwa uDC na U-RC, lakini kwasasa hadi maDED, Wanajeshi, Mapolice kwa uchache wote wanafanya kazi za siasa za CCM ukiachia mbali aina wasomi Kama Bashiru, Kabudi, Mkumbo nk wanaonunulika kirahisi kwa kupewa madaraka au fedha.
duh...!
Bashiru kwa mf. Ili hali akijua kuwa kosa kubwa, alikubali kutoka ngazi ya juu ya utumishi wa chama kupelekwa ngazi ya juu ya utumishi wa umma.
Hili hata mimi nililisemea Uteuzi wa Dkt. Bashiru Ally, Pasco Mayalla kawa kimya
Chama Cha siasa kwenye mfumo wa siasa ya vyama vingi, kinakuwa kimefilisika hivyo utumia giribha na hila. Kinakuwepo madarakani kwasababu ya matumizi ya nguvu na wala si kwasababu ya sera zake wala hicho mnachokiita katiba Bora. Kuwa na sera ni jambo moja lakini utekelezaji wa hizo sera ni jambo kingine.
Naunga mkono hoja na hili mimi pia nimelisema CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! na hapa CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali? na hapa Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla
Nakupa mfano mmoja kuonyesha kuwa CCM haina pumuzi ya kuongoza. Nadhani Sasa hivi unaona mambo yanavyoenda ovyo na nchi inaelekea kupigwa mnada (Ndungai).
Sii kweli mambo mbona ni supper sana tuu!.
Kwenye ujambazi wa uchaguzi wa 2020 aliofanya JPM na genge lake la kina Bashiru na Polepole, CCM imeshika nafasi zote za uongozi kuanzia vitongoji hadi Raisi. Niambieni, ni jipya lipi imelifanya tofauti na wakati mwingine ambao ingawa kwa kuibiwa kulikuwa na mchanganyiko wa vyama vya siasa kwenye ngazi tofauti za uongozi?
Hili nililishauri kabla Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa! na nikawapa the consequences. Sikuishia hapo baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa, nikashauri tena Ushindi mtamu ni ushindani katika uwanja sawa, sio ule wa mezani. Magufuli, kasi yako ni ushindi wa kishindo. Ruhusu ushindani wa haki, sawa na wazi haikusaidia kitu, hivyo the consequences happened!.
Kwa hiyo ndugu yangu, najua unafagilia CCM kwasababu una jambo lako unalolitafuta, na umelitafuta kwa muda mrefu,
Sii kweli
siku ukichoka usitulahumu kuwa hatukukuambia. JPM aliteua wengi wasifiaji wake na watukanaji wa viongozi wa vyama vya upinzani, lakini kwa Samia si Sana. Tafuteni njia nyingine.
Asante nimekusikia!.
P
 
umefunguka vizuri sana kuhusu ubovu wa ccm.

ebu mshauri basi huyu muungwana ajiunge na chama gani bora cha siasa na akashawishika na kuvutiwa haa na sera, uelekeo, ustaarabu, ukubwa zaid ya ccm?

sema tu usiogope kama wale wengine wanao washawishi watu usiichague ccm na kisha hawawaambii wachague nini badala ya ccm.
Tlaatlaah: uchaguzi wa chama cha siasa ni Uhuru na hiari ya mtu. Kwangu mimi chama ulichokipa sifa ulizozitaja hapo juu ni Chadema. Kwasasa hakuna chama kingine chochote kilicho na viongozi wa juu wasioyumbishwa au kukatishwa tamaa kwa kuongwa wala kutishwa mbali na Chadema. Ni chama chenye sera zilizowazi, ingawa najua upotoshaji unaofanywa na ccm kuhusu sera za Chadema ni mkubwa mno. Ni chama kilicho na wafuasi ndani ya serikali na vyuo vya elimu ya juu kuliko CCM japo hawajiweki wazi kwasababu ya maslahi na woga wa kupoteza kazi.

Tumeona safari walioipitia CHADEMA hasa kipindi cha JPM. Viongozi maslahi wote walinunulika kama ilivyokuwa kwa Bashiru, ambae baadae alitumika kuwanunua wenzie toka vyama vya upinzani husisani chadema. Lakini pamoja na risasi, kubambikiwa kesi na vitisho vingine, viongozi wakuu hawajeteteleka na ndiyo wamekuwa sauti ya wananchi badala ya bunge letu la mchongo. Bunge ambalo hata Kinana wenye chama cha CCM amelilalamikia adharani.

Pamoja na propaganda za ovyo za kukipaka matope Chadema na viongozi wake zilizofanywa na CCM hasa kipindi cha Magufuli bado Chadema imesimama upande wa wananchi. Jiungeni CHADEMa wakati ni huu.
 
...nasubiri nikuekue kwanza... Ili niwe na roho ya ufisadi... Saiv badobado nahuruma...[emoji23]
 
Back
Top Bottom