Unatafuta nyimbo za Kiafrika (Kongo)? Karibu upatiwe

Mkuu Roga roga natafta wimbo au sebene, nisijue alieimba ni nan au kundi ngan" lkn kama ckosei wimbo unaitwa mgogo mgogo ( shika mgogo mgogo , na ndo wanavyoimba
 
Mkuu naomba nyimbo ya marioo ile aliyoimba Franco, na nyingine aliyeimba mwanadada meddley sijui ni nani yule ila ni marioo
 
mkuu naomba nyimbo/ album za munishi msaada mkuu
 
Nyimbo za Deffao Album ya 1993/94
 
Na kuna wimbo unakiitikio wa
Ayee Africa eeh
Ooh Africa
Ayee africa eeh
Ooh africa
Sijamhua muimbaji wake
Ila hupigwa sana na radio Deutche Welle wakiwa wanaangazia mambo ya barani africa
 
Na kuna wimbo unakiitikio wa
Ayee Africa eeh
Ooh Africa
Ayee africa eeh
Ooh africa
Sijamhua muimbaji wake
Ila hupigwa sana na radio Deutche Welle wakiwa wanaangazia mambo ya barani africa
Unaitwa ee Africa muimbaji ni fraklin boukaka
 
Kuna wimbo ndugu zangu miaka ya 1992....93..94

Nakumbuka baadhi ya maneno tu alieimba sijuwi wala jina halisi la wimbo

Maneno ni haya
Mume wangu NIMULEVI anakunywa pombe
Mume wangu NIMULEVI analewa POMBE

Na mengine ni

KAMBELEMBELE MAMAA KAMBELEMBELE MAMAA

Please help on getting this song ndugu zanguni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…