Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,775
- 3,593
Naomba wimbo wa taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefanya jambo la mbolea sana kuweka uzi huu, kwa kweli Mungu Akubariki!Huu ni ukrasa maalum kwaajili ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za Kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa.
Pia, bongo fleva za zamani ni mahara pake pia. Karibuni sana. Hakikisha jina la mwimbaji, bendi na jina la wimbo viko sawa.
Hatimaye hawajaunganisha..Huu uzi nimeupenda bure lkn soon mods watauunganisha na ule wa 'wimbo gani unaoutafuta bila mafanikio'
Sent using Jamii Forums mobile app
Rangi ya ChungwaMkuu Kuna Na Nyimbo Fulani Ya Zilipendwa Unahusu Mwanafunzi Jamaa Anataka Kuoa Ila Kanatoa Excuse Ya Bado Kanasoma
Sidhani Kama Nimeeleweka
Naomba kuuliza swali.Huu ni ukrasa maalum kwaajili ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za Kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa.
Pia, bongo fleva za zamani ni mahara pake pia. Karibuni sana. Hakikisha jina la mwimbaji, bendi na jina la wimbo viko sawa.
Tangazo la biashara hilihauiti hivyo, ila nimekuelewa.unaitwa azda huu hapa
Hii ni kwaito kweli?nahii hapa
Unatumiwa sana na Idhaa ya Kiswahili Radio DW kila jumamosi mchana kwente kipindi chao cha AfricaKuna wimbo wa siku nyingi kidogo, siujui jina lake. Uliimbwa na Manu Dibango (sijui kama nimepatia jina). Nayakumbuka baadhi ya maneno ".....Hallo hallo Africa eeee. ...."
Nimeutafuta sana, bahati mbaya sijui jina lake. Niliusikia nikiwa mdogo, hata sijaanza darasa la kwanza!
Unaitwa Le bucheronKuna wimbo wa siku nyingi kidogo, siujui jina lake. Uliimbwa na Manu Dibango (sijui kama nimepatia jina). Nayakumbuka baadhi ya maneno ".....Hallo hallo Africa eeee. ...."
Nimeutafuta sana, bahati mbaya sijui jina lake. Niliusikia nikiwa mdogo, hata sijaanza darasa la kwanza!
Sidhani kama upo sahihiWIMBO UNAITWA EXTRA BALL WA DIBLO DIBALA.
Mpya nenda wasafi utazipata.wekeni nyimbo mpya basi