Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Mwamba vp mbona umeukimbia uzi wako mwenyewe au ndo majukumu yamekuwa mengi mkuu.Huu ni ukrasa maalum kwaajili ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za Kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa.
Pia, bongo fleva za zamani ni mahara pake pia. Karibuni sana. Hakikisha jina la mwimbaji, bendi na jina la wimbo viko sawa.
Naomba wimbo unaoitwa "Chawa", sijajua Kama uliimbwa na Mwanamuziki gani, lakini wimbo ambao umeimbwa kwa Lugha ya Kiswahili.zipo nyingi sana. Unge-specfy ipi hasa unaitaka
Mkuu naomba tafsiri ya wimbo wa Iyolela ulioimbwa na Nana Akumu wa Afrisa InternationalHuu ni ukrasa maalum kwaajili ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za Kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa.
Pia, bongo fleva za zamani ni mahara pake pia. Karibuni sana. Hakikisha jina la mwimbaji, bendi na jina la wimbo viko sawa.
Huu siyo wimbo wa Kongohuuu hapa