Unatafuta nyimbo za Kiafrika (Kongo)? Karibu upatiwe

Unatafuta nyimbo za Kiafrika (Kongo)? Karibu upatiwe

Huu ni ukrasa maalum kwaajili ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za Kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa.

Pia, bongo fleva za zamani ni mahara pake pia. Karibuni sana. Hakikisha jina la mwimbaji, bendi na jina la wimbo viko sawa.
Mwamba vp mbona umeukimbia uzi wako mwenyewe au ndo majukumu yamekuwa mengi mkuu.

Mkuu Bakulutu na wewe umetokomea na kutususia uzi hivi hivi dah....
 
Huyu Fally huyu dah...kuna nyimbo tamu japo sielewi kikongo! Haya maisha haya kmmke ..😂🙌
 
zipo nyingi sana. Unge-specfy ipi hasa unaitaka
Naomba wimbo unaoitwa "Chawa", sijajua Kama uliimbwa na Mwanamuziki gani, lakini wimbo ambao umeimbwa kwa Lugha ya Kiswahili.
Kwenye huo wimbo wameanza kwa kuomba maneno haya,
......" Chawaa, chawaaaa,
Chawa ulinisumbua kwa muda mrefu chawa, naona leo sikutaki chawaaaa!!!..
 
Mkuu kama hutojali tupia hapa nzinzi nakei Nairobi embango na Kinshasa ya wenge Musca bcbg
 
Ndugu habari...naomba mashairi na tafsiri yake ya wimbo wa Iyolela ulioimbwa na Nana Akumu wa Afrisa International. Natanguliza shukrani zangu
 
Huu ni ukrasa maalum kwaajili ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za Kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa.

Pia, bongo fleva za zamani ni mahara pake pia. Karibuni sana. Hakikisha jina la mwimbaji, bendi na jina la wimbo viko sawa.
Mkuu naomba tafsiri ya wimbo wa Iyolela ulioimbwa na Nana Akumu wa Afrisa International
 
Back
Top Bottom