Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji121]Mwana mziki wa Uganda nyimbo zake kama miondoko ya CantryNaomba nyimbo za Mwanamziki wa Uga alie kufa kwa HIV KIMWI Alikua naitwa Feli. Kama sikosei.
Mkuu, sina namna ya kukushukuru nimetafuta nyimbo hii bila mafanikio kwa muda mrefu sana. Itoshe tu kusema asante sana kiongozi. 🙏🙏🙏karibu uburudike na kunguru hafugiki
Asantee KiongoziiiKula nyundo hizo wikiend iende vizuri
Natumaini unamaanisha huu wa madiluu na siyo franco..... solo gitaa ni dally kimokoKuna ile ngoma ya Franco dizain Kama iko two in one..mwanzo anaimba "aza aza aza..halafu baadae biti linabadilika unasikia "Alobaki Nini eeeh eeeh.