Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
Ndio huo wa post no 18 mkuu shukranKuna ule unaimba, aza kolingalongolo geeewe gewe gewe gewe, komalinga yasa, yasa ngombo ya songo
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio huo wa post no 18 mkuu shukranKuna ule unaimba, aza kolingalongolo geeewe gewe gewe gewe, komalinga yasa, yasa ngombo ya songo
.
Mkuu una Album ya pepe Kalle full option ya 1993 kama sikosei.
Naitaka nzima kama utafanikiwa
zingine pitia post za nyuma zipo kibaoMkuu nimetafuta sana nyimbo za Oliver ngoma bila mafanikio. Naomba msaada wako tafadhali
Asante sana mkuu kwa msaada. Nimepitia thread nzima sijaziona[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]zingine pitia post za nyuma zipo kibao
Shukrani Sana kiongozi.Natumaini unamaanisha huu wa madiluu na siyo franco..... solo gitaa ni dally kimoko
Dah nimeickiza ila sio hii
yenyewe ipo inaimba ivi
Jumamosi jumamosi tulale wapi sisi masikini
Dah nimeickiza ila sio hii
yenyewe ipo inaimba ivi
Jumamosi jumamosi tulale wapi sisi masikini
Jaribu na huoDah nimeickiza ila sio hii
yenyewe ipo inaimba ivi
Jumamosi jumamosi tulale wapi sisi masikini
Nimekumbuka yenyewe mwishoni inaisha hiviJaribu na huo
Mkuu naomba nyimbo za Jean Baron kwa kadri utakavyokuwa nazo/zipata..ahsantehebu usikiize huo ulioandikwa sebene
Naomba pia nyimbo ya NDALA KASHEBA...ANAMUIMBIA HAPPY BIRTHDAY MPENZ WAKE ANAITWA ASHURA.hebu usikiize huo ulioandikwa sebene
Mohamed Kanyasi - JB MpianaKuna wimbo wa kikongo unaitwa Mohamed sijui nani, nautafuta sana
Nadhani anamaanisha :Operation Dragon'Unge specify tu jina maana yako mengi...nakupa moja tu
Mkuu kibao hicho kinaitwa Prison.Mheshimiwa,Mimi nahitaji wimbo wa FM Academia/Ndanda Kosovo - Jela ni mbaya (not sure with the song's name)