Unataka kula mzigo siku 2 mfululizo Askari bila kushusha zana? Dawa ya pharmacy ambayo wengi hawajaifahamu ipo

Unataka kula mzigo siku 2 mfululizo Askari bila kushusha zana? Dawa ya pharmacy ambayo wengi hawajaifahamu ipo

Raia wanaendelea kuGoogle huko wanatafuta s na l ila in short umezingua kutushuhulisha wakulungwa
 
Taja dawa basi Ili watu wajue hapa hapa au unataka waje inbox
Nina sababu nyingi zilizofanya nisiitaje moja kwa moja.
Unakumbuka Kamanda alimwambia Mama kuna wakimbizi wamepewa teuzi na wengine wapi kwenye maamuzi ila akaishia hapo kwani si angetaja tu jina
 
TATZO kubw la Nguvu za kiume lipo hv
Utulivu wa akili 80%
Afya zetu
 
Nicheki inbox mzee kama upo interested mimi ni nani nikatae maokoto
Hata ikionekana nimeweke ili nipige pesa
Sasa mzee Kwan unauza ngada au?
Biashara ni matangazo na tangazo halikamiliki bila kuweka mawasiliano.

Hayo mambo ya kufuatana vifichoni ndio watu wanakuona tapeli.

Wewe weka gamba hapa, bei na mawasiliano.
 
Chururu yako itakapokufa ganzi hata pasipo kupaka vumbi utakuja kuleta habar
mara mia mtu wa vumbi kuliko hizo viagra, hizo zinamaliza vibaya sana,,,,,,,,,,,ila hayo mambo kikubwa msosi mazoezi na utulivu kichwani unapiga mbususu vizuri bila busta yeyote
 
Back
Top Bottom