Unataka pesa? Mbona huoneshi kama kweli unazitaka?

Unataka pesa? Mbona huoneshi kama kweli unazitaka?

wa kupuliza,
Nilitaka sema hili...huyu jamaa content zake kama ontario..halafu kana waumini wake wa kuingiza wengine king......kuna msemo wanasema ukiona unaitwa kwe fursa ujue we ndo fursa...najua program inayofuata kiingilio dollar 100 ah ah
 
Nilitaka sema hili...huyu jamaa content zake kama ontario..halafu kana waumini wake wa kuingiza wengine king......kuna msemo wanasema ukiona unaitwa kwe fursa ujue we ndo fursa...najua program inayofuata kiingilio dollar 100 ah ah

Hahah mkuu wewe unayo exposure ya kutosha ndio maana umegundua mapema janja ya huyu jamaa baada ya hio anayoita free training blah blah blah,lkn subiri jamaa aje mwenyewe hapa ataanza kukwambia wewe ni certified hater unamchukia yeye milionea.
 
Naona unatetea id yako kwa nguvu zote huku unaandika hivi na id nyingine unakuja kujisifia.Anguko lako ni kubwa kuliko mnara wa babeli.
Kitu nilichogundua humu jf ukieleza ulipokuwa ..ulipo na aunapotaka kuelekea unaongeza maadui balaa[emoji1][emoji1]!hakuna anayefurahi...sijui kwann!mwacheni mtoa mada aandike anachoweza kutupa sisi maskini bwana!umaskini unachosha..unazeesha mno jaman...!nimeuchoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda wewe rich one wa tmk halisi.
[emoji1430]

Mkuu mimi sitoweza wavumilia midomo michafu.

Nitawajibu mstari kwa mstari aya kwa aya.

And yes nitaendelea ku-share mambo positive yakujiongezea kipato pia kujifunza kuona maisha katika namna mpya.

I have need so fortunate to experience both sides of life. Poor and rich.

Being poor sucks.

I will NEVER think like poor person.

I choose to be rich.

Yes I’m rich.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wivu unisumbue kwa freelancer?hahah

Freelancer mzee wa bnb uchwaraaa.

Sasa utakosaje wa kukuamini wkt hata shetani mwenyewe ana wafuasi wake na wanamuamini.

Komaa na self help books unaweza kua guru kwa kuuza maneno ya kutia moyo kwa wenye kuhitaji.
Elewa Self book na maisha ya mtu yameanza maisha...hivyo vitabu bimeandikwa kutokana na watu wanavyoishi iweje mtu aandike maisha harisi useme vitabu Je kitabu na mtu kilianza nini.

IDIOT

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa nimekushika shati hutoroki.

Wivu unakusumbua unachukia kuona naandika mambo yanayo-reasonate na watu wengi.

Wewe ni certified hater.

Na mbaya zaidi huna unaloweza kunifanya.

Wakati unaongea hizi pumba I’m growing my program. People appreciate what I’m offering.

Na hawa watu ni wa hapa JF wanasoma hizi pumba zako.

View attachment 1293538



Sent from my iPhone using JamiiForums
Wajinga huws hawaishagi ndo maana umewaacha ndugu zako kuwafundisha kupiga hela umekuja kutafuta misukule jf kuwapiga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elewa Self book na maisha ya mtu yameanza maisha...hivyo vitabu bimeandikwa kutokana na watu wanavyoishi iweje mtu aandike maisha harisi useme vitabu Je kitabu na mtu kilianza nini.

IDIOT

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe huyo ambae inakuchukua mwaka 1 mzima kuipata 1.5mil ndio unataka kunishauri kuhusu Maisha na struggles sio?

Pussssy.
 
Wajinga huws hawaishagi ndo maana umewaacha ndugu zako kuwafundisha kupiga hela umekuja kutafuta misukule jf kuwapiga.

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha umbeya na wivu

Hebu angalia hizi pumba unazoanzisha kwenye thread zako.

Utaweza kufanya reasoning na mimi?

IMG_7503.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Garyvee anapiga ana hisa kwenye kampuni kubwa duniani na anaeleza watu mtandaoni, Mafiruki anaeleza, Trump anaeleza, Kiyosaki anaeleza.

Umetosheka

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu hawa wajinga wajinga mimi nawapiga nyundo za kichwa lazima waweweseke.

Hawasaidii chochote hapa.

Zaidi uzi wangu unapata zaidi views kwakusomwa na watu wengi.

And guess what?

Pamoja na negative comments zao still watu wema ninaendelea kuwasiliana nao iwe pm au kwenye Email yangu.

They make me SUPERSTAR




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
...because ambition alone won’t get you to millionaire/billionaire status.

You need to be more than that.

You need to be a person of VALUE.

Customers won’t buy from you because you are ambitious. They buy because you sell them solutions to their problems.

The more value/solution you create the more money you generate.

Ok.

Now get out of here. Nenda kafanye kazi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Na kadharau unako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom