Nilitaka sema hili...huyu jamaa content zake kama ontario..halafu kana waumini wake wa kuingiza wengine king......kuna msemo wanasema ukiona unaitwa kwe fursa ujue we ndo fursa...najua program inayofuata kiingilio dollar 100 ah ah
Kitu nilichogundua humu jf ukieleza ulipokuwa ..ulipo na aunapotaka kuelekea unaongeza maadui balaa[emoji1][emoji1]!hakuna anayefurahi...sijui kwann!mwacheni mtoa mada aandike anachoweza kutupa sisi maskini bwana!umaskini unachosha..unazeesha mno jaman...!nimeuchoka
[emoji1430]
Mkuu mimi sitoweza wavumilia midomo michafu.
Nitawajibu mstari kwa mstari aya kwa aya.
And yes nitaendelea ku-share mambo positive yakujiongezea kipato pia kujifunza kuona maisha katika namna mpya.
I have need so fortunate to experience both sides of life. Poor and rich.
Being poor sucks.
I will NEVER think like poor person.
I choose to be rich.
Yes I’m rich.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Elewa Self book na maisha ya mtu yameanza maisha...hivyo vitabu bimeandikwa kutokana na watu wanavyoishi iweje mtu aandike maisha harisi useme vitabu Je kitabu na mtu kilianza nini.Wivu unisumbue kwa freelancer?hahah
Freelancer mzee wa bnb uchwaraaa.
Sasa utakosaje wa kukuamini wkt hata shetani mwenyewe ana wafuasi wake na wanamuamini.
Komaa na self help books unaweza kua guru kwa kuuza maneno ya kutia moyo kwa wenye kuhitaji.
Garyvee anapiga ana hisa kwenye kampuni kubwa duniani na anaeleza watu mtandaoni, Mafiruki anaeleza, Trump anaeleza, Kiyosaki anaeleza.Hakuna mtu anaepiga pesa na kuja mtandaoni kufundisha watu ili nao wapige pesa.
Msije sema hatukuwaambia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajinga huws hawaishagi ndo maana umewaacha ndugu zako kuwafundisha kupiga hela umekuja kutafuta misukule jf kuwapiga.Hapa nimekushika shati hutoroki.
Wivu unakusumbua unachukia kuona naandika mambo yanayo-reasonate na watu wengi.
Wewe ni certified hater.
Na mbaya zaidi huna unaloweza kunifanya.
Wakati unaongea hizi pumba I’m growing my program. People appreciate what I’m offering.
Na hawa watu ni wa hapa JF wanasoma hizi pumba zako.
View attachment 1293538
Sent from my iPhone using JamiiForums
Elewa Self book na maisha ya mtu yameanza maisha...hivyo vitabu bimeandikwa kutokana na watu wanavyoishi iweje mtu aandike maisha harisi useme vitabu Je kitabu na mtu kilianza nini.
IDIOT
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu hoja then weka Bank statement yako hapa sio misuto.Wewe huyo ambae inakuchukua mwaka 1 mzima kuipata 1.5mil ndio unataka kunishauri kuhusu Maisha na struggles sio?
Pussssy.
Wajinga huws hawaishagi ndo maana umewaacha ndugu zako kuwafundisha kupiga hela umekuja kutafuta misukule jf kuwapiga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Garyvee anapiga ana hisa kwenye kampuni kubwa duniani na anaeleza watu mtandaoni, Mafiruki anaeleza, Trump anaeleza, Kiyosaki anaeleza.
Umetosheka
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unatetea id yako kwa nguvu zote huku unaandika hivi na id nyingine unakuja kujisifia.Anguko lako ni kubwa kuliko mnara wa babeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni id yako nyingine endelea kuipa promo kutapeli watu km sirjeff/ontario!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kadharau unako...because ambition alone won’t get you to millionaire/billionaire status.
You need to be more than that.
You need to be a person of VALUE.
Customers won’t buy from you because you are ambitious. They buy because you sell them solutions to their problems.
The more value/solution you create the more money you generate.
Ok.
Now get out of here. Nenda kafanye kazi.
Sent from my iPhone using JamiiForums