Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

Nataman Sana watu wajue Utamu na raha nijisikiayo mm, mazoez ni raha jamani. Unakua na afya ya akili na mwili, pia ukivaa nguo zinakaa unaonekana mtu wa fashion
 
Tupe siri ya mafanikio, nasikia ukiacha unabaki skeleton ni kweli?
Hahaha ukiacha utabaki skeleton kweli, nijuavyo mimi Siri ya mafanikio ni kufuata program za mazoez kiusahihi, kula vzr hasa vyakula vya kujenga mwili, pata muda wa kupumzika, Mwisho ni Uvumilivu. Note: usikubali kupitisha siku tatu bila kufanya mazoez.
 
mazoezi yakifika kwenye kiwango cha juu raha sana fikiria umekimbia km 20 asubuhi halafu unanyoosha viungo baada unakunywa maji ya uvuguvugu raha sana kijasho kwa mbali
 
Sana sana inakua mwanzoni ila baada ya muda unakua unaona ni kawaida na utakua unaenjoy zoezi lako.
mkuu castr hiyo sit up nusu kwa nusu unapoanzia chini bila kufika magotini na unapoanzia kati kufika magotini ndani ya reps moja nifanye zote mbili au kila moja inajitegemea
 
mkuu castr hiyo sit up nusu kwa nusu unapoanzia chini bila kufika magotini na unapoanzia kati kufika magotini ndani ya reps moja nifanye zote mbili au kila moja inajitegemea
Hapo kila moja itajitegemea.

Mfano Utaanza nusu za kuanzia kati na kuyafuata magoti kisha unamalizia na nusu za kuanzia chini na kuishia kati.
 
mazoezi yakifika kwenye kiwango cha juu raha sana fikiria umekimbia km 20 asubuhi halafu unanyoosha viungo baada unakunywa maji ya uvuguvugu raha sana kijasho kwa mbali
Halafu unalala kidogo ukiamka unapata msosi kisha unaendelea na maisha ya siku hiyo.....
 
Mkuu ulipiga ile ya GM diet plan nini? Naigopaaaaa!!!
 
we manjagata kile kitairi kinauzwa 18000 kama upo dar tembea kwa miguu kuanzia karume kama unaelekea kariakoo utakuta vijana wanauza pia kabla hujafika kariakoo kuna duka la vifaa vya michezo upande wa kushoto
 
Ok ntajarib
 
we manjagata kile kitairi kinauzwa 18000 kama upo dar tembea kwa miguu kuanzia karume kama unaelekea kariakoo utakuta vijana wanauza pia kabla hujafika kariakoo kuna duka la vifaa vya michezo upande wa kushoto
Ila mimi nilinunua 10,000
 
Ok ntajarib
Karibu kwenye Body For Life Challenge, kuna uzi nimeuanzisha wenye lengo la kutiana moyo. Itatuchukua wiki mbili kwa routine yote.
Challenge itaanza kesho.

Check username ya Castr angalia posts, kisha threads angalia uzi umeandikwa "Body For Life Challenge: Jiunge na Mimi"

##Body4LyfChallenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…