Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

Ayo yote Tisa mkuu mazoezi ya tumbo ni chakula tu ukiwa unakula hovyo hata ufanyaje hutopata matokeo chanya hata kidogo nimehangaika sana na hili zoezi bila mafanikio nimekuwa muhudhuriaji mzuri wa gym napata matokeo chanya kote ila tumboo likanishinda kabisa ila sasa nimebadili life style yangu ya kula kabisaa huu ni mwezi wa pili sasa nina six packs zinakuja kwa speed na rate ya mazoezi ya sasa ni ndogo sana ukicompare na mara ya kwanza

Fanyeni yote usipojua kuheshimu chakula kitambi hakiepukiki
ungeshea hiyo plan ya kula
 
Mazoezi ukiyazoea inakuwa ni kama starehe. Nilianza kuota kitambi mara tu nilipopata kiajira na kuanza kuzikunja noti na kubahatika kupata kausafiri kakutembelea, nikaona sasa huko ninapoelekea nitapasuka. Nikiangalia muda wa kufanya mazoezi nakosa kabisa, naingia kazini asubuhi narudi jioni. Nikaona chakufanya hapa ni kuamka alfajiri nifanye mazoezi ndio niende kazini. Nikaanza kuamka saa 11:00 alfajiri kila siku, naenda uwanjani kukimbia kuzunguka uwanja. Siku ya kwanza nilizunguka mara 6, siku zilivyozidi kwenda nikawa naongeza, hatimaye nikawa naweza kuzunguka mara 35, na nikitoka kukimbia nikifika home nafanya mazoezi ya tumbo kama crunches, sit ups, n,k.

Siku hizi nimebadili utaratibu, sihesabu tena mizunguko ninayozunguka uwanja bali nakimbia kwa saa 1 bila kupumzika. Kitambi kimeyeyuka na nina six-pack, najisikia vizuri muda wote, nimechangamka na ninajiamini. Nimezoea kufanya mazoezi hadi nikikosa kufanya nahisi kupungukiwa kitu kwa siku hiyo.

Ukichukulia mazoezi ni adhabu, utafanya kwa siku chache na kuacha. Mazoezi ni matamu asikwambie mtu. Tufanye mazoezi wakuu.

Nimeona nishee hii ili wengine nao wahamasike
Yeap,
Ratiba yako kama ya kwangu isipokuwa tunatofautiana aina ya mazoezi. Naamka saa 11 kasorobo, naruka kamba hata idadi simaindi sana, napiga push ups 100 daily (arobaini, napumzika, 30 namalizia 30). nasukuma kitairi mara 60 daily (round moja 10). Nanyosha viungo kasha natamatisha mazoezi. Niko fiti sitaki kuwa slim na sitaki kitambi ila niko fiti mwili hauna mabonde mabonde. Mazoezi ni raha kushinda unywaji wa pombe
 
Haya mazoezi nimefanya sana lakini tumbo halikubali kuwa flat hata kidogo zaidi linakuwa gumu sana kwa ndani.
Kaka/dada kumbuka fitness sio kuwa slim. unaweza fanya mazoezi ukawa fiti na usiwe slim, lakini kama unafanya mazoezi stahili huwezi kuwa na tumbo la kizembe (yaani ukitembea linatepeta) bali linakuwa gumu na unaweza kukimbia au kufanya kazi nzito au kunyanyua vitu vizito bila kusikia maumivu ya tumbo
 
Yeap,
Ratiba yako kama ya kwangu isipokuwa tunatofautiana aina ya mazoezi. Naamka saa 11 kasorobo, naruka kamba hata idadi simaindi sana, napiga push ups 100 daily (arobaini, napumzika, 30 namalizia 30). nasukuma kitairi mara 60 daily (round moja 10). Nanyosha viungo kasha natamatisha mazoezi. Niko fiti sitaki kuwa slim na sitaki kitambi ila niko fiti mwili hauna mabonde mabonde. Mazoezi ni raha kushinda unywaji wa pombe
Safi sana mkuu
 
Yeap,
Ratiba yako kama ya kwangu isipokuwa tunatofautiana aina ya mazoezi. Naamka saa 11 kasorobo, naruka kamba hata idadi simaindi sana, napiga push ups 100 daily (arobaini, napumzika, 30 namalizia 30). nasukuma kitairi mara 60 daily (round moja 10). Nanyosha viungo kasha natamatisha mazoezi. Niko fiti sitaki kuwa slim na sitaki kitambi ila niko fiti mwili hauna mabonde mabonde. Mazoezi ni raha kushinda unywaji wa pombe
Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym
 
Chukua chupa la lita 1.5 la Kilimanjaro jaza mchanga,then uwe unalirusha mbele nyuma,nyuma mbele..kama unasukuma bembea sio kurusha udake[emoji3]
Au piga ngumi hewani...
Ok thanks. Hii ya ngumi huwa nafanya sema si kila siku sababu ya muda
 
Mkuu hii unaweza kuipiga ukiwa peke yako? Yaani kila nikipiga najikuta nasogea ila wife akinishika mguu kwenye vidole kwa kukandamiza chini, hua nalala na kunyanyuka kwa wepesi sana na kwa harakaharaka. Vipi kuna njia ya kupiga nikiwa mwenyewe?
 
Mkuu hii unaweza kuipiga ukiwa peke yako? Yaani kila nikipiga najikuta nasogea ila wife akinishika mguu kwenye vidole kwa kukandamiza chini, hua nalala na kunyanyuka kwa wepesi sana na kwa harakaharaka. Vipi kuna njia ya kupiga nikiwa mwenyewe?
Mimi hua napitisha miguu chini ya meza au kitanda.
Njia nyingine hua badala ya miguu kuikunja karibu hua naisogeza mbele, kwahiyo magoti yanakua hayana muonekano wa muinuko mkali sana.
 
mkuu reps maana yake nini?
Mfano unafanya sit ups, kile kitendo cha kunyanyua mwili na kuurudisha pale ulipoanzia ndiyo kinaitwa rep, zikiwa nyingi ndiyo reps.

Ni kama mdau alivyokwambia hapo juu.

Pia Ni kifupi cha repetitions.
 
Mfano unafanya sit ups, kile kitendo cha kunyanyua mwili na kuurudisha pale ulipoanzia ndiyo kinaitwa rep, zikiwa nyingi ndiyo reps.

Ni kama mdau alivyokwambia hapo juu.

Pia Ni kifupi cha repetitions.
asante sana mkuu ila hii Crunches imenishinda kuinuka
 
asante sana mkuu ila hii Crunches imenishinda kuinuka
Ni ngumu au haujaielewa?
Hua nahisi hii ndiyo nyepesi kushinda zote.

Ila jitahidi kupiga hata tano zikiwa perfect utakua ukiongeza kidogo kidogo.
 
Nakimbia uwanja Mara 15 kila siku jioni... Napiga mazoezi yote ya kukata tumbo... Napiga mazoezi ya stamina za miguu n.k


Najihisi nimezaliwa upya Niko poaaaaaaaa kabisa...


Fuatilieni comments zangu hapo juu muone maumivu niliyoyapata wiki ya kwanza... Sitasahau kwa kweli
The same here but sasa hivi yameshaachia
 
Six packs yataka moyo sana mpaka kuzipata especially ukiwa unafanya mazoezi kwenye kagym kako ka maskani....
Njia ya haraka ya kupata hizi kitu ni kupiga zoezi la V...
 
Six packs yataka moyo sana mpaka kuzipata especially ukiwa unafanya mazoezi kwenye kagym kako ka maskani....
Njia ya haraka ya kupata hizi kitu ni kupiga zoezi la V...
Hahahaha mkuu mbona mazoezi ya six packs ni miongoni mwa yanayoweza kufanyika nyumbani? Yaani siyo lazima uwe na vifaa vya gym ili upate unachotaka...
 
Back
Top Bottom