Unataka urafiki wenu uendelee kudumu? Basi usijenge nyumba jirani na yule "best friend" yako

Unataka urafiki wenu uendelee kudumu? Basi usijenge nyumba jirani na yule "best friend" yako

Kuna kitu umesahau wewe...hata muwe na urafiki wa aina gani mkikaa karibu hivyo kati yenu mmoja wenu lazma atakula mke wa mwenzie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...

Asilimia kubwa ya ma best walioshibana lazma mmoja huwaga anakula demu au mke wa mwenzie kama wataleta mazoea yao mpk kwenye familia...

Hii inakuwaga siri kubwa sana ambayo aliyechapiwa inakuwaga nadra sana kugundua na hudumu mpaka mwisho wa uhai wenu au urafiki wenu ukijua ni bahati tu,CHUNGUZENI SANA HILI

USHAURI WANGU,HAIJALISHI WEWE NA RAFIKI YAKO MMESHIBANA VP USIMWAMINI AKAZOEANA NA MKE WAKO KAMA WEWE ULIVYOZOEANA NAE,SITUATION HIZO SHETANI HUWAGA AKAAGI MBALI NA HASHINDWAGI KUFANYA JAMBO...NIMEANDIKA HIVI KWASABABU NIMEPATA KUSHUHUDIA HAYO MAMBO KWENYE COUPLE KADHAA ZA VIJANA NA WATU WAZIMA MARAFIKI ZAO WANAWAZUNGUKA SANA KWA WAKE ZAO ...

HATA MIMI ILINITOKEA JAMAA YANGU TULIESHIBANA SANA ALIWAHI KUTEMBEA NA GIRLFRIEND WANGU NILIYEMPENDA SANA KIPINDI MIMI NIPO MASOMONI NJE YA TZ 2014. NA HUYO JAMAA NA DEMU HAWAJUI KAMA MIMI NILIJUA WALIVYONISALITI WAKATI MIMI SIPO JAPO WALIJITAHIDI SANA KUFANYA HAYO MAMBO KWA SIRI SANA WAKATI SIPO ILA MUNGU KAAMUA YA KWAMBA LAZMA NIJUE HILO JAMBO..nashukuru hakuwa mke.

JAMAA NIMESHAMSHUASHA NA VYEO VILE VYA UBEST SI KAMA TULIVYOKUWA ZAMANI,LAKINI BADO HAJAJUA SABABU YA MIMI KUMPOTEZEA...na demu kashaolewa na jamaa mwingine(uzuri hajafa mtu katika hili tukio[emoji16][emoji16][emoji16])NA MAISHA YANAENDA VYEMA KWA SASA KWA KILA MMOJA WETU...na itachukua miaka mingi kidogo mbele kuja kuwaambia hawa washenzz kwamba nilijua walivyonitenda 2014(WEKA MBALI WIFE NA HAO TUNAOWAITA FRIENDS INDEED)
 
Kuna kitu umesahau wewe...hata muwe na urafiki wa aina gani mkikaa karibu hivyo kati yenu mmoja wenu lazma atakula mke wa mwenzie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...

Asilimia kubwa ya ma best walioshibana lazma mmoja huwaga anakula demu au mke wa mwenzie kama wataleta mazoea yao mpk kwenye familia...

Hii inakuwaga siri kubwa sana ambayo aliyechapiwa inakuwaga nadra sana kugundua na hudumu mpaka mwisho wa uhai wenu au urafiki wenu ukijua ni bahati tu,CHUNGUZENI SANA HILI

USHAURI WANGU,HAIJALISHI WEWE NA RAFIKI YAKO MMESHIBANA VP USIMWAMINI AKAZOEANA NA MKE WAKO KAMA WEWE ULIVYOZOEANA NAE,SITUATION HIZO SHETANI HUWAGA AKAAGI MBALI NA HASHINDWAGI KUFANYA JAMBO...NIMEANDIKA HIVI KWASABABU NIMEPATA KUSHUHUDIA HAYO MAMBO KWENYE COUPLE KADHAA ZA VIJANA NA WATU WAZIMA MARAFIKI ZAO WANAWAZUNGUKA SANA KWA WAKE ZAO ...

HATA MIMI ILINITOKEA JAMAA YANGU TULIESHIBANA SANA ALIWAHI KUTEMBEA NA GIRLFRIEND WANGU NILIYEMPENDA SANA KIPINDI MIMI NIPO MASOMONI NJE YA TZ 2014. NA HUYO JAMAA NA DEMU HAWAJUI KAMA MIMI NILIJUA WALIVYONISALITI WAKATI MIMI SIPO JAPO WALIJITAHIDI SANA KUFANYA HAYO MAMBO KWA SIRI SANA WAKATI SIPO ILA MUNGU KAAMUA YA KWAMBA LAZMA NIJUE HILO JAMBO..nashukuru hakuwa mke.

JAMAA NIMESHAMSHUASHA NA VYEO VILE VYA UBEST SI KAMA TULIVYOKUWA ZAMANI,LAKINI BADO HAJAJUA SABABU YA MIMI KUMPOTEZEA...na demu kashaolewa na jamaa mwingine(uzuri hajafa mtu katika hili tukio[emoji16][emoji16][emoji16])NA MAISHA YANAENDA VYEMA KWA SASA KWA KILA MMOJA WETU...na itachukua miaka mingi kidogo mbele kuja kuwaambia hawa washenzz kwamba nilijua walivyonitenda 2014(WEKA MBALI WIFE NA HAO TUNAOWAITA FRIENDS INDEED)
Is marriage life all about sex? Kwani mkeo utamlinda muda wote kama mtoto mdogo? Unajuaje kama huyo uliyenaye sasa kama hafanyi uasherati?
 
Hakunaga urafiki wa milele, kwanza hilo tulijue.. Rafiki yako wa primary utampoteza ukihamia secondary, rafiki wa mtaani kuna muda utampoteza, rafiki wa o level, utampoteza rafiki wa a level utampoteza, rafiki wa chuo utampoteza, hata wa kazini pia utakuja mpoteza, wote tutakuwa tumeexperience hili jambo.. Ukitoka hatua moja kwenda nyingine unapoteza watu, mkiachana katika harakat za maisha, kila mtu akashika njia yake lazima upoteze rafiki pia.
Nina wachache wa shule ya msingi, sekondari na chuoni ambao ni marafiki mpaka leo kiasi cha kujuana ukoo wangu na wao.
 
Nina wachache wa shule ya msingi, sekondari na chuoni ambao ni marafiki mpaka leo kiasi cha kujuana ukoo wangu na wao.
Urafiki hauwezi kuwa kama ule wa kipindi hicho.
 
Is marriage life all about sex? Kwani mkeo utamlinda muda wote kama mtoto mdogo? Unajuaje kama huyo uliyenaye sasa kama hafanyi uasherati?
Everything you wrote in your thread is all about life concerns...watoto kugombanisha mama zao,wanawake kuoneana wivu(vyote ni kawaida ktk maisha)na mimi nikaongezea lingine...what is that you don't understand about my comment[emoji15]
 
Everything you wrote in your thread is all about life concerns...watoto kugombanisha mama zao,wanawake kuoneana wivu(vyote ni kawaida ktk maisha)na mimi nikaongezea lingine...what is that you don't understand about my comment[emoji15]
Okay mkuu
 
Asante Samia umejua kuwatumikia Watanzania 2025 tutakupa kura zote.
Rais Samia hata asingepiga kampeni mwaka jana 2020 ushindi ulikuwa ni 90%. Rafiki zetu wa CHADEMA waliula wa chuya na hawakupata hata wabunge 5 tu.
 
Good afternoon JamiiForums.

Je, unataka urafiki wenu uendelee kudumu miaka na miaka? Basi usijenge nyumba jirani na yule "best friend" yako. Usifikiri mkijenga majirani ndio mtadumisha urafiki wenu mkuu. Hapana kwa sababu kuu moja kwamba, wewe na yeye mnaweza kuwa "best friends" lakini wake zenu wasiwe mtu na shoga yake. Umenipata mkuu? Umenisoma mzee baba?

Hii imekaa hivi, Pipa na Mfuniko ni marafiki wa muda mrefu sana. Walikutana kazini au zamani walikuwa wanakaa mtaa mmoja na kucheza wote ile michezo ya kitoto. Kuna uwezekano mkubwa pia hata labda Pipa na Mfuniko walikutana chuoni UDSM wakitokea shule tofauti za secondary, lakini walipokuwa chuo walikuwa wanafanya mambo yao kwa pamoja mpaka wakawa marafiki.

Inawezekana walikuwa kozi moja, walikuwa discussions group moja, walikuwa wanakunywa beer wote siku za weekend na kufukuzia pisi kali za chuo. In sort itoshe kusema kwamba, Pipa na Mfuniko ni marafiki wa kufa na kuzikana.

Punde baada ya kuhitimu elimu ya juu mwaka 2013 walikula msoto mwaka mmoja na hatimaye kupata kazi kampuni tofauti Dar lakini bado wakawa wana-hangout pamoja.

Kosa ambalo huyu Pipa na rafiki yake mfuniko wanaweza kulifanya likaja kuua urafiki wao ni pale ambapo wataamua wote kwenda kununua kiwanja sehemu moja. Hahahahaaa, that's a fatal mistake my friend. Usinunue kiwanja kisha ukajenga na kuishi jirani na rafiki yako mkuu kwa maana nyie mnaweza mkawa maswahiba lakini wake zenu wasishibane.

Kama pipa amenunua kiwanja Boko, basi mfuniko ajitahidi aende akanunue huuuuuko Kibamba ili kuongeza ladha ya urafiki. Kama mnakaa Arusha, wewe ukipanga nyumba Njiro, basi rafiki yako yeye akakae Sakina. Msikae karibu kama kweli mnataka urafiki wenu uendelee kudumu.

Kuna kitu kimoja ambacho kimejificha katika urafiki nahisi watu wengi hawakifahamu. Urafiki ni mtamu kama mnaonana mara moja moja. Hii ndio siri kubwa na urafiki mtamu. Ukikaa muda mrefu haujaonana na mtu ndio mnakuwa na mambo mengi ya kusimuliana, na hapa ndio utasikia "aisee, Pipa alikuja kikazi Dar akitokea Mwanza, tulipiga story mpakaa saa saba usiku". Kwanini wapige story mpaka usiku wa manane? Sababu ni moja tu, hawajaonana muda mrefu.

Urafiki wa kuonana kila wakati wa kuwa majirani ipo siku wake au watoto zenu watawagombanisha. Mdogo wangu uliyeanza kazi hapa juzi juzi tu, hivi unawajua wanawake au unawasikia? Hivi unafikiri wahenga waliposema kuwa adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzio waliokosea? Wewe (Pipa) unaweza ukanunua sofa mpya lakini rafiki yako (Mfuniko) hajabadili viti mwaka wa tano sasa.

Unafikiri kinachofuata ni nini kama sio shemeji yako (mke wa Mfuniko) kumnunia mkeo? Mama watoto wako amepika vizuri siku ya X-mass, lakini kwa best yako pamedorora, ni nini kitafuata hapa kama sio beef?

Wake zetu tunawapenda sana, lakini wao kwa wao wasipoiva chungu kimoja sidhani kama mtu na best yake wataendelea kuchekeana kama zamani, tena mbaya zaidi ukute mke wa mfuniko anafanya kazi Bank lakini yule wa Pipa yeye ni mama wa nyumbani, mbona urafiki huo wa tangia utotoni/chuoni utaingia doa.

Kama unataka urafiki wenu uendelee kudumu muda mrefu, usijiroge ukajenga eneo moja na best friend yako, ooooho sasa wewe jifanye mjuaji, kuna siku utaukumbuka huu ushauri wangu.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Nadhani kesi nyingi zinamhusu binadamu,lakini mwangalie kiumbe anaitwa duma,anakomaa kuua lakini jirani yake fisi anakuja kula kila kitu.Nadhani Sir God Ni wakati aje atuweke wazi,kwanini ubinafsi uu katika kiwango hiki.
 
Nadhani kesi nyingi zinamhusu binadamu,lakini mwangalie kiumbe anaitwa duma,anakomaa kuua lakini jirani yake fisi anakuja kula kila kitu.Nadhani Sir God Ni wakati aje atuweke wazi,kwanini ubinafsi uu katika kiwango hiki.
Mkuu, kwani fisi huwa hawindi kabisa kitoweo chake? Hata wale wanyama wadogo wadogo?
 
Rais Samia hata asingepiga kampeni mwaka jana 2020 ushindi ulikuwa ni 90%. Rafiki zetu wa CHADEMA waliula wa chuya na hawakupata hata wabunge 5 tu.
Rais Samia Mungu amlinde sana mama yetu huyu kipenzi kutoka Zanzibar.
 
Nina wachache wa shule ya msingi, sekondari na chuoni ambao ni marafiki mpaka leo kiasi cha kujuana ukoo wangu na wao.
Kweli wa primary na secondary wanaweza kupotea pia wa chuo ila sio wa mtaani
 
Back
Top Bottom