unatakiwa kuomba ruhusa au kuaga

unatakiwa kuomba ruhusa au kuaga

Mkuu kwangu hiyo naiona hatari sana,, kama kwenda kawaida muende wote

Mkuu kwenda na shemeji yako bar duhh noma akiona unakodoa macho unajua mimi mdhaifu na mifadhaiko sasa akiona nakodoa macho kwenye mifadhaiko basi ugomvi.
 
Ebwanee kama anaenda na mashosti wake namruhusu lakini sio akae peke yake ingawa wanasema wanao enda bar ni malaya wengine wanaenda kuwaona akina Fidel teh teh teh


unajua sio kila wakati unatoka na mr, kuna wakati kila mtu anakula kuku kivyake, mie cpend kwenda bar kukaa mwenyewe na kukata kilaji lakini ile ya kwenda na ma frnds naifurahia sana, so ni mambo ya kumwambia tu mr kesho nitakuwa na MJ1,WOS mahali fulani kwa burudani,hiyo inatosha, ukikuta ana kicrani ndio utaambiwa hakuna kwenda popte....ndoa bwana inameza uhuru kweli....lol
 
Wanaume wengine huwa hata hawaagi. Jamaa katoka ofisin mpaka saa tatu au saa nne hata hasemi yupo wapi. mpaka unamwuliza vipi kulikoni? ndio anakuambia ooh nimepita kwa washkaji. Sasa si ungetoa taarifa honey nitachelewa napitia kupata 2 na washkaji.

Kumpa mwenzio taarifa ni muhimu. Je me mwanamke nipite kwa mashosti nirudi saa nne halafu sikuaga hapo si patachimbika
 
Nafikiri hata mwanaume anatakiwa kuomba ruhusa kwa mkewe. Kuna namna nyingi za kuomba. Si lazima aseme "Naomba ruhusa" kama wafanyavyo wanetu. Anaweza kutumia maneno tofauti. Kwa mf. "Mama fulani, nafikiria kwenda kuwaona wazee wiki ijayo na kurudi baada ya siku 2". Hapo jamaa anakuwa ameonesha nia yake ya kusafiri ambayo inasubiri kuungwa mkono na mkewe au kutoungwa mkono kama kuna sababu nzito. Kumbe kuomba ruhusa kunawafunga wote wawili.


tofati yetu ni kwamba cc tunaweza kuomba tukanyimwa lakini nyie ni kama unamtaarifu tu mwenzako kuna kuna hili na lile na hawezi kukuzuia/kunyima.
 
tofati yetu ni kwamba cc tunaweza kuomba tukanyimwa lakini nyie ni kama unamtaarifu tu mwenzako kuna kuna hili na lile na hawezi kukuzuia/kunyima.
[/COLOR]

Niliwahi pata wifi yako nilitaka niweke ndani ndo maana nikaamua kugaili mpaka 2012 alikuwa ananichagulia mpaka marafiki sitaki uwe rafiki na mtu kama Yo Yo kwa nini ooh anapiga mno ibada mala ooh leo sitaki uende kazini twende kwa hotel kha! nikawa namwambia mama maisha hayaendi hivyo katika kipindi cha uchumba niliishi kama mfungwa nilie kosa uhuru cha ajabu mpaka kinywaji alikuwa ananichagulia eti usinywe Safari lager kunywa Ndovu jamani mimi mpenzi wa Safari hii Ndovu nikinywa inakuwa kama maji lakini wapi. Dah we acha tu mpaka sehemu ya kunywa anachagua yeye na biti nene sitaki nikuone Matungucha nenda kanywe Resort dah we acha wanawake bana mna mambo jamaa zangu walikuwa wanahisi kama nimepewa Libwata kumbe ni love dah baadae nilipo ona naishi kama mtumwa nikamwambia mama mwisho tafuta maisha yako nami natafuta yangu. Alinichosha pale alipo kuwa anautawala mshahara wangu mwisho wa mwezi ndo anahamia kabisa getto kuanzia tr.28 hivi ndo habanduki mapaka nipokee mshahara wakati yeye alikuwa anapokea kipato kikubwa sana kuliko changu lakini akaamua kunitawala kwa kutumia kipato changu kile kile zikiisha basi anarudi kwake dah we acha Nyamayao nyie wanawake mm nawaangalia tu mkiamua duh mnakuwa wabaya na wanoko kupindukia.
Niliamua kumtosa ingawa ilikuwa kazi maana wewe utamfukuzaje boss wako kazi? Ni ngumu lakini nilifanikiwa kumpiga kuboot cha usoni kwa kutafuta sholi mkali kuliko yeye.
 
Niliwahi pata wifi yako nilitaka niweke ndani ndo maana nikaamua kugaili mpaka 2012 alikuwa ananichagulia mpaka marafiki sitaki uwe rafiki na mtu kama Yo Yo kwa nini ooh anapiga mno ibada mala ooh leo sitaki uende kazini twende kwa hotel kha! nikawa namwambia mama maisha hayaendi hivyo katika kipindi cha uchumba niliishi kama mfungwa nilie kosa uhuru cha ajabu mpaka kinywaji alikuwa ananichagulia eti usinywe Safari lager kunywa Ndovu jamani mimi mpenzi wa Safari hii Ndovu nikinywa inakuwa kama maji lakini wapi. Dah we acha tu mpaka sehemu ya kunywa anachagua yeye na biti nene sitaki nikuone Matungucha nenda kanywe Resort dah we acha wanawake bana mna mambo jamaa zangu walikuwa wanahisi kama nimepewa Libwata kumbe ni love dah baadae nilipo ona naishi kama mtumwa nikamwambia mama mwisho tafuta maisha yako nami natafuta yangu. Alinichosha pale alipo kuwa anautawala mshahara wangu mwisho wa mwezi ndo anahamia kabisa getto kuanzia tr.28 hivi ndo habanduki mapaka nipokee mshahara wakati yeye alikuwa anapokea kipato kikubwa sana kuliko changu lakini akaamua kunitawala kwa kutumia kipato changu kile kile zikiisha basi anarudi kwake dah we acha Nyamayao nyie wanawake mm nawaangalia tu mkiamua duh mnakuwa wabaya na wanoko kupindukia.
Niliamua kumtosa ingawa ilikuwa kazi maana wewe utamfukuzaje boss wako kazi? Ni ngumu lakini nilifanikiwa kumpiga kuboot cha usoni kwa kutafuta sholi mkali kuliko yeye.

kumbe unakamatikaga eeeh, ulishikwa mackio c kitoto,mrembo alikushtukia haupo serious na relation ndio mana akawa anataka kuvuna kwanza kama mbaya iwe mbaya...lol
 
. Dah we acha tu mpaka sehemu ya kunywa anachagua yeye na biti nene sitaki nikuone Matungucha nenda kanywe Resort dah we acha wanawake bana mna mambo .



Duh! Dogo leo umenikumbusha viwanja kianna,, mambo ya nyumbani I see!
 
Duh! Dogo leo umenikumbusha viwanja kianna,, mambo ya nyumbani I see!

hehehehe hivyo ndo venyewe bro. kwa nyama choma dah we acha tu alafu unapiga mchemsho au spesho dah balaa bro.
 
kumbe unakamatikaga eeeh, ulishikwa mackio c kitoto,mrembo alikushtukia haupo serious na relation ndio mana akawa anataka kuvuna kwanza kama mbaya iwe mbaya...lol

Huyu alinigeuza kama buzi wkt mimi nilitaka mzigo niuweke ndani yeye akapata mwanya wa kunichuna lakini sasa hivi uliza nini kinaendelea? Alipata jamaa wa kichotara/half cast nyie wanawake mnapenda sana mahalf cast mnaamini ni mahandsome dah jamaa mambo alikuwa hayawezi amerudi kwangu tena mimi nimemwambia najiexpress kama upo tayari twende kazi lakini wazo la ndoa hilo futa.
 
hehehehe hivyo ndo venyewe bro. kwa nyama choma dah we acha tu alafu unapiga mchemsho au spesho dah balaa bro.

Na resort kwa kiti moto duh! Itabidi tuchekiane kiaina mkuu!
 
Na resort kwa kiti moto duh! Itabidi tuchekiane kiaina mkuu!

Hehehe sasa huduma makini kwa hiyo swine ni pale Korogwe kwa Jeni bar mpya dah pale penyewe kaka hawadanganyi wale.
Umewahi kula ile ya kuoka kama mbuzi yaani ya kuchoma?
Umewahi kula mdudu wa kuchoma kwa mishikaki?
Bongo bana maisha tambalale bro.
 
Hehehe sasa huduma makini kwa hiyo swine ni pale Korogwe kwa Jeni bar mpya dah pale penyewe kaka hawadanganyi wale.
Umewahi kula ile ya kuoka kama mbuzi yaani ya kuchoma?
Umewahi kula mdudu wa kuchoma kwa mishikaki?
Bongo bana maisha tambalale bro.


EE bwana naona mambo si mchezo! nadhani pia mstue MJ1 walau aje aonje na kupata ushauri wa ndani zaidi au sio!
 
EE bwana naona mambo si mchezo! nadhani pia mstue MJ1 walau aje aonje na kupata ushauri wa ndani zaidi au sio!

Hehehe MJ1 nitampeleka kule Mburahati akapate angalau kilo moja KTM ya kuchoma ile kiboko mzeeya unaweza ukapiga hata kilo 2 si mashalah
 
Na resort kwa kiti moto duh! Itabidi tuchekiane kiaina mkuu!

aisee resort gani hii?, safari resort ya kimara au?
mi ndo uwanja wangu wa kujidai pale, never miss jumamosi, ugali wa kisukuma na kitimoto kilo nzima, wananijua sana pale!!!
teh teh tehh, ukija tutafutane mkuu
 
aisee resort gani hii?, safari resort ya kimara au?
mi ndo uwanja wangu wa kujidai pale, never miss jumamosi, ugali wa kisukuma na kitimoto kilo nzima, wananijua sana pale!!!
teh teh tehh, ukija tutafutane mkuu


Mkuu namaanisha hiyo hiyo, safari resort, sasa dogo ananiambia kuna mpya tena apo korogwe, mwendo wa miguu tu! By the way sasa hivi nimependa walivojaribu kupabadilisha yule mama anajitahidi sana!
 
Wanaume wanafanya ubabe akisema anatoka mara moja ujue anatoka mara zote lakini ni mfuatiliaji sana wa kila hatua anayopiga mwenzake ,jamani mapenzi ni pande zote mbili ,msitake kupokea tu bila kutoa ,mkiagana ndio mnaboresha ndoa yenu
 
Hehehe MJ1 nitampeleka kule Mburahati akapate angalau kilo moja KTM ya kuchoma ile kiboko mzeeya unaweza ukapiga hata kilo 2 si mashalah

.............. Mimi ndo wa kunipeleka Mburahati?!............... mwone vile!! (joke)
 
Wanaume wanafanya ubabe akisema anatoka mara moja ujue anatoka mara zote lakini ni mfuatiliaji sana wa kila hatua anayopiga mwenzake ,jamani mapenzi ni pande zote mbili ,msitake kupokea tu bila kutoa ,mkiagana ndio mnaboresha ndoa yenu

..... Bora we mwaya MONDERWOMAN turudishe kwenye mstari maana ya safari resout sijui ...... sidhani kama hata huwa wanaaga hawa makwao lol.

Cha kuchekesha ni kuwa kuna safari nyingine hupangwa way back before kuomba ruhusa sasa utakuta mwanamke mwingine hawezimpa ahadi rafiki yake kuwa jumamosi nitakuja kukutembelea kwa sababu hadi aombe ruhusa ambayo anawezakataliwa au ruhusiwa ila wanaume ah miadi kwanza then taarifa!!
 
..... Bora we mwaya MONDERWOMAN turudishe kwenye mstari maana ya safari resout sijui ...... sidhani kama hata huwa wanaaga hawa makwao lol.

Cha kuchekesha ni kuwa kuna safari nyingine hupangwa way back before kuomba ruhusa sasa utakuta mwanamke mwingine hawezimpa ahadi rafiki yake kuwa jumamosi nitakuja kukutembelea kwa sababu hadi aombe ruhusa ambayo anawezakataliwa au ruhusiwa ila wanaume ah miadi kwanza then taarifa!!


mie ninachofanyaga pale ninapogomewa ruhusa ni kwamba wote tu tukae home mana akitoka ninae....lol hawezi kwenda pata raha mwenyewe, na mara zote anazonigomea utakuta tumekwaruzana sasa hana hamu ya kutoka ujue na wewe cku hiyo hata kama ulishaomba ruhusu wik moja kabla utakataliwa tu...ukimkuta vizuri ahhh atabaki nyumbani we utatoka kama kawaida lakini ucsubiri upigiwe cmu ya kukumbushwa kuwahi nyumbani mana next time utagomewa....ndoa bwana!
 
Mkuu namaanisha hiyo hiyo, safari resort, sasa dogo ananiambia kuna mpya tena apo korogwe, mwendo wa miguu tu! By the way sasa hivi nimependa walivojaribu kupabadilisha yule mama anajitahidi sana!

kaka hiyo korogwe usiombe upite weekend hata kwenye daladala unaiskilizia, siku moja nilikua napita na mshikaji wangu uzalendo ukamshinda akasema tushuke tukapige mnyama, safari yetu ikaishia pale pale!.
korogwe hapo iko fasta, haina kusubiri, dakika 5-10 kitu kiko mezani!, ila resort napapenda pametulia zaidi.
 
Back
Top Bottom