Unatakiwa ukae kwa muda gani kwenye penzi jipya kabla hamjapeana utamu?

Unatakiwa ukae kwa muda gani kwenye penzi jipya kabla hamjapeana utamu?

Naulizwa

Muulizaji: money penny, unatakiwa ukae muda gani (siku/miezi mingapi) na mpenzi wako kwenye penzi jipya kabla hamjafanya mapenzi?

Nisije nikalala nae mapema nikakimbiwa. Nisije nikamkazia sana akakimbia, nifanyaje?

Haya mje mumsaidie mwenzenu.
There is a saying that goes like "If you don't know where u r going, any road will take u there"

Kitendo cha wewe kuuliza ni wazi kuwa unaandaa hadaa juu ya mwenzako, pia hujui nini unataka wewe mwenyewe! kama nyote mna malengo ya ndoa basi subirini muoane. Ila hili si jambo la kuambiwa, u either have this standard in u or u just don't have it.
 
There is a saying that goes like "If you don't know where u r going, any road will take u there"

Kitendo cha wewe kuuliza ni wazi kuwa unaandaa hadaa juu ya mwenzako, pia hujui nini unataka wewe mwenyewe! kama nyote mna malengo ya ndoa basi subirini muoane. Ila hili si jambo la kuambiwa, u either have this standard in u or u just don't have it.
Unagombana na mwandika Uzi as if Yuko na hii demand au unamshauri Yule alieandikiwa Uzi?!
Don't get it twisted my brother hii sio personal
Rudia kusoma uzi
 
Back
Top Bottom