Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Za jinsia zote nashona, karibu sana.Za kiume unashona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za jinsia zote nashona, karibu sana.Za kiume unashona?
🤗🤗 Katoto kazuri...Hahahha nimemuacha
Ewaaah [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847] Katoto kazuri...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka..Em muelekeze mwenzio fundi
Affirmative. Nijiandae lini?At your service. Jiandae tu kumpokea mgeni
Aaah yaani bangi unayovuta wewe sio ya nchi hii[emoji119][emoji119][emoji119]
Dada hana hamu hadi leo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka..
MweeeehZa jinsia zote nasjona, karibu sana.
Ewaaah [emoji847][emoji847]
Naku-pm, wasije wakatuvamia bure kwenye meeting yetuAffirmative. Nijiandae lini?
Asante mkuu Mungu akutangulie kwenye maisha ya ndoaNawakaribisha wana JF kwenye harusi yangu tarehe 18 mwezi 11 sherehe itafanyika Jijini Dar na hakutakuwa na michango karibuni nawapenda mno
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siku moja na mimi ntaibuka kule, niende nikatabasamu na roho yangu
Sasa bwana harusi hiyo suti ninashona express au? Gharama zitaongezeka.Nawakaribisha wana JF kwenye harusi yangu tarehe 18 mwezi 11 sherehe itafanyika Jijini Dar na hakutakuwa na michango karibuni nawapenda mno
Na wewe unataka suti?Mweeeeh
mwaaaaaaaaaaaaaa my dada wangu upo kweli mnaendeleaje kweli huu uzi umewaleta wa zamani sana hapaMiss you sana my dada…
Express maana yake ni ipiSasa bwana harusi hiyo suti ninashona express au? Gharama zitaongezeka.
huyu mwenye harusi mwambie kuwa mm napamba ukumbi na natengeneza kadi za mwaliko a harusi asisite kuniPM basi jamaniSasa bwana harusi hiyo suti ninashona express au? Gharama zitaongezeka.