Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
NaamYaani tunatosha kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NaamYaani tunatosha kabisa
Ilimradi tusumbuane tuHahahha hapo kwenye kukopana pesa dada tukimbiane kidogo halafu tulipane
Yani mimi na wadada wa Kinyakyusa huulizi.Mimi japo sijakuona mzigua, nina uhakika wa 100% una shape yenye mvuto, sina uhakika sura ipoje.
Ni mfupi nyundo ?Yani mimi na wadada wa Kinyakyusa huulizi.
Na siachi kwa maneno yakoDada mnaa wewe
Jamani bby wangu. Hata nilishasahau jamani kama yupo. Mapenzi yetu yalikua ya jukwaani tu hata PM sidhani kama tuliendaga.Kuna jamaa humu alikuwa anajiita sijui Cephalocaudi, sijui mlikuwa mnadate naye kweli, aiseee nilikuwa nawaonea wivu sio mchezo.
Huu wimbo umenibariki maana .......Hahahahahahaha you know you’re crazy eh!!!!
For BAK’s listening pleasure. RIEP Whitney.
No way. Imekuaje?Hahahahaha natania tu bby....
Halafu huwezi amini nimeacha pombe sijui ni nanii kanilogaa
Hatari kabisa.Tenaa wamenasaaa
Nizeeke ili nigundue nini mpenzi? Yani sasa hivi ndo nimerudi ujana sasaHivi utazeeka lini?Hupoi wala huboi mpaka lini?
Mrefu kama Wema SepetuNi mfupi nyundo ?
Hahaha Hapana mdogo wanguHahahaha mimi nilikua sijui kama unakunywaa...wee kumbe unatumia pombee?
Aisee, wanyakyusa tunakuandikia tamko letu huku[emoji38][emoji38][emoji38]Yani mimi na wadada wa Kinyakyusa huulizi.
mtafamiana mdogo mdogo wala aina shida na watu wa humuKwasisi wageni tunapata shida kweli, hatujui hata tuonane na yupi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Msinifanyie hivyo wifi zanguAisee, wanyakyusa tunakuandikia tamko letu huku[emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeachwa tena ndugu yangu.Wewe mtu nakutafuta maana sijui wifi kashanitundika block hupati message zangu