Digging deeper
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 787
- 512
- Thread starter
- #461
watu wa mbeya mmebalikiwa😊😊😊😊Aisee, wanyakyusa tunakuandikia tamko letu huku[emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu wa mbeya mmebalikiwa😊😊😊😊Aisee, wanyakyusa tunakuandikia tamko letu huku[emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Imekuaje umeachika tena na wewe?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Havichekeshi ila nimekucheka. Pole mwaya ndo life lakini mi mwenyewe nimejuachisha niko singo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeachwa tena ndugu yangu.
Nicheck WhatsApp niko nje ya nchi kiduchu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Msinifanyie hivyo wifi zangu
watu wa mbeya mmebalikiwa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
We acha tu nyie wadada mba mambo; yaani hamjui nini mnataka. Nitakupa story nikija; nataka ni ku surprise huko ZenjiImekuaje umeachika tena na wewe?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Havichekeshi ila nimekucheka. Pole mwaya ndo life lakini mi mwenyewe nimejuachisha niko singo
Dooh yaani nimetoa tabasamu nene mno hadi mdomo umegoma kurudi kawaida. Naelewa dearest sis na hata wewe wajua vile nakupendaga bure na ninavyokumissigi. [emoji7][emoji7]Niseme nini kwa habari yako Babe?
Najua unajua namna huu moyo upo kwako..
Na nilivyokumiss.. Unajua ninavyokulalamikia kila iitwapo leo...
Ombi langu: Mwisho wa mwaka huu naomba ufanye namna...
Kama nimewaza gubu la kaka zenu nyie nitawamudu tu.Na si inajua mawifi zako tulivyo na gubu?
Kuendesha manual car naanzia wapi lakini? Fanya uje kisiwani tulewe zetu tusahau mapenzi kwa mudaWe acha tu nyie wadada mba mambo; yaani hamjui nini mnataka. Nitakupa story nikija; nataka ni ku surprise huko Zenji
Hivi unajua kuendesha manual car?
Nakuja soon, nikupeleke 5* moja hivi matata. Alafu nikupe koneksheni za kisiwani.Kuendesha manual car naanzia wapi lakini? Fanya uje kisiwani tulewe zetu tusahau mapenzi kwa muda
Nimekucheck WhatsAppNakuja soon, nikupeleke 5* moja hivi matata. Alafu nikupe koneksheni za kisiwani.
Jifunze manual, kuna kitu inaozea garage hapo kisiwani na mpango wa kuivisha sina. Inatakiwa uipashe pashe
Ila mimi mapenzi hayanipi shida ma'am Mkenya wangu nishamzoea atarudi tu
Kwahiyo jamaa kakuzingua baada ya kwenda Zenji ama? Yule jamaa ana wivu , mbaya; nilikuwa namchora tu siku ileKuendesha manual car naanzia wapi lakini? Fanya uje kisiwani tulewe zetu tusahau mapenzi kwa muda
kila kitu😊😊😊😊😊ni meisha sana mbeyaTumebarikiwa nini jamani?
Kama nimewaza gubu la kaka zenu nyie nitawamudu tu.
kila kitu[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]ni meisha sana mbeya
eh matoki kama yote,michele ndo usisemeVyakula vingi eeh?
Anizingue anaanzia wapi kwa mfano? Sio hata yeye halafu. Niko na kaka ake Heaven Sent ananipeleka resi acha tu rafiki yangu. Uje tu nikusimulie yanayonisibu.Kwahiyo jamaa kakuzingua baada ya kwenda Zenji ama? Yule jamaa ana wivu , mbaya; nilikuwa namchora tu siku ile
Wana gubu kaka zenu [emoji119][emoji119][emoji119]. Wanajua kupenda na sio wachoyo Sema kununa sekundeKaka zetu hawana gubu bana, kazi ipo kwetu
We Heaven Sent mkanye kaka yako tafadhali[emoji17][emoji17] hatuchelewi kwenda kuwapa ndugu zetu wa visiwani connection [emoji23][emoji23][emoji23]Anizingue anaanzia wapi kwa mfano? Sio hata yeye halafu. Niko na kaka ake Heaven Sent ananipeleka resi acha tu rafiki yangu. Uje tu nikusimulie yanayonisibu.
Mpaka nimepungua kilo.
[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]We Heaven Sent mkanye kaka yako tafadhali[emoji17][emoji17] hatuchelewi kwenda kuwapa ndugu zetu wa visiwani connection [emoji23][emoji23][emoji23]