Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Anizingue anaanzia wapi kwa mfano? Sio hata yeye halafu. Niko na kaka ake Heaven Sent ananipeleka resi acha tu rafiki yangu. Uje tu nikusimulie yanayonisibu.
Mpaka nimepungua kilo.
Na kupendwa ndiyo muhimu[emoji38][emoji38]Wana gubu kaka zenu [emoji119][emoji119][emoji119]. Wanajua kupenda na sio wachoyo Sema kununa sekunde
Mbona unanuna, nataka kumwaga Ugali nini?[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
We Heaven Sent mkanye kaka yako tafadhali[emoji17][emoji17] hatuchelewi kwenda kuwapa ndugu zetu wa visiwani connection [emoji23][emoji23][emoji23]
Amen.. Amen..Baby Sis.. Naelewa mambo ni mengi.. But..All the Best Babe.Dada is proud of you..Dooh yaani nimetoa tabasamu nene mno hadi mdomo umegoma kurudi kawaida. Naelewa dearest sis na hata wewe wajua vile nakupendaga bure na ninavyokumissigi. [emoji7][emoji7]
Tatizo mambo mob akii si unajua tena dada yangu kipenzi. Ila nitajitahidi wallahi siku yoyote ukiwa na muda wa kutosha nikuje nishinde tena tupate yale mambo yetu mazuri. [emoji16][emoji16]
Unawajua sana kaka zako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].Ahhahah kaka wivu utakuwa unamsumbu; si anajua pisi yake ilivyo? Mvumilie tu bana, atakaa sawa.
Afu bila shaka atakuwa ni tall dark guy eeh[emoji126][emoji126]
@Shunie mfanyie jambo ndugu yangu.
Unawajua sana kaka zako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Daaah bahati ya mtende hii, inabidi tupange sasa dada mzuri wengine tupo Nanjirinji huku japo familia zipo darYeyote ambae yupo free tuonane, mi nipo free sahivi
Kikao cha mapampula.Hahaaa kwahiyo umeona unitangaze kwa watu kuwa na mimi ni mnywaji? Ujue kuna watu wananiona decent sana humu ndani wasije wakapata mshituko ukanichafulia jina! [emoji3][emoji3] [emoji16][emoji16]
Ngoja nikusaidie kumtag Shunie@Shunie mfanyie jambo ndugu yangu.
Na shape la kuvunja spring za VXMrefu kama Wema Sepetu
Alivyokuwa anakubebisha, yaani kuna wakati nilitamani kumtumia watu wasiojulikanaJamani bby wangu. Hata nilishasahau jamani kama yupo. Mapenzi yetu yalikua ya jukwaani tu hata PM sidhani kama tuliendaga.
Nimejaribu kumtag hata ID yake siooni.
Sasa wivu ulikua unaona wa nini lakini?[emoji1787][emoji1787]