Unatamani kukutana na mwanamke gani wa JF?

Mkuu nikimtaja utasaidia kuonana nae? Manake sio nataja tu halafu naishia kutaja.
lengo ni kwamba itasaidia kwa yule unayetaka kukutana naye ajue tu amna kitu kingine ndo lengo la uzi huu
 
@audacious unasalimiwa na ndugu yangu.
Yani napenda vibaya kabisa japo siaminikagi naonekana jambazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Hahahhaa kama namuona atakavyocheka
Bwana weeh maisha ndio hayahaya acha tupende tu hakuna namna [emoji1787][emoji1787]yakiisha yameisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…