financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Dah you're calling us misukule mkuu?πͺ mbona sisi ndiyo hao jirani zako huko mtaani.Watakuwa vichaa hao. Yani niache kutongoza mademu wazuri ninaowajua live nianze kuhangaika na misukule ya humu ambayo hujui kebin zao zimekaeje kaeje!!! that is a complit madness!
We Dina wewe, yaani uko on line saa kumi saa hizi unakuja kulike comment usiku wote huu, mh!We si tayari hahaha
Hata mimi nimeumia, unaonekana ni katoto kazuri kabisa iweje aseme misukule, WEE NANIRIUU..(nani kweli aliewaita misukule)NJOO UJIEREZE HUKU!Dah you're calling us misukule mkuu?πͺ mbona sisi ndiyo hao jirani zako huko mtaani.
Duu pole sana mkuu mwamba kajichanganyaDah you're calling us misukule mkuu?πͺ mbona sisi ndiyo hao jirani zako huko mtaani.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hamna shida, mi nakuja hata na lori la mahindi ilimradi kuonana.
Sio pouwa. Watanzania tupendane.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] akuuuuu
ππππWe Dina wewe, yaani uko on line saa kumi saa hizi unakuja kulike comment usiku wote huu, mh!
π katukosea sana aiseeHata mimi nimeumia, unaonekana ni katoto kazuri kabisa iweje aseme misukule, WEE NANIRIUU..(nani kweli aliewaita misukule)NJOO UJIEREZE HUKU!
Come on!Am here
Sawa mkuuππππππgood jobNinayetaka kumukna nilishamfikia kwenye PM yake na tunaendelea vizuri. Kiliwahi kuwa na program za get together kwenye wings. Sijui ziliishia wapi.
Asanthe Mkuu. Nipe ripoti yako.sawa mkuuππππππgood job
Inawezekana tunaminya/tunakaa mtaa mmoja...Dah you're calling us misukule mkuu?πͺ mbona sisi ndiyo hao jirani zako huko mtaani.
Hivi unakumbuka kama nna mahusiano na wewe? Au ushanisahau?Nakusubiri kwa mangi eve
Nilikuwa lindoWe Dina wewe, yaani uko on line saa kumi saa hizi unakuja kulike comment usiku wote huu, mh!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Eve umenifanya nicheke sana, hii ndio sababu nimekutaja kama moja ya watu ninaotamani kuwaonaHivi unakumbuka kama nna mahusiano na wewe? Au ushanisahau?
She is beautful with brain, nineona ile picha ya kwenye ule uzi wa mshindi wa shindano la uandishi, kiukweli she is sooo beautful, anafanana na avatar yake, very smart with ambitions, ameni inspire sanaAbrianna atafutiwe tuzo. Anaonekana kuwagusa wengi katika mtazamo chanya.
[emoji16][emoji16][emoji16]Hamna shida, mi nakuja hata na lori la mahindi ilimradi kuonana.
Nimeona nikukumbushe usikute nadate mwenyewe tu....π[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Eve umenifanya nicheke sana, hii ndio sababu nimekutaja kama moja ya watu ninaotamani kuwaona
Sasa mpenzi tupange mambo mazuri basi