Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Dada mnaa weweSawa shemeji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada mnaa weweSawa shemeji
Kuna jamaa humu alikuwa anajiita sijui Cephalocaudi, sijui mlikuwa mnadate naye kweli, aiseee nilikuwa nawaonea wivu sio mchezo.Kama Dinazarde na baby wake. Mi naangaliaga tu mliokosa mapenzi ya kweli huku mnavyodis mapenzi ya wengine. Watu wanapenda huku mpaka sio vizuri
Dada mama kasema unikune fizi[emoji85][emoji85][emoji85]Hilo jibu unajua unamjibu nani lakini?
Jiangalie Dogo...[emoji28]
Wewe mtu nakutafuta maana sijui wifi kashanitundika block hupati message zangu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama nakuona[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Auntie ebu uko
Nachunga kondoo wangu kimyakimya[emoji38][emoji38]Mama Mchungaji unapita kimya kimya.... Heaven Sent
Natamani tukutane the android ParkHakuna
Naoa mwezi wa 11 nitafutie fundi mzuri wa sutiKama nakuona[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna siku nimesoma kitu mahali nikataka kukustua nikaamua kumute[emoji1787][emoji1787]
Ahahah una visa wewe!!
Ahahah una visa wewe!!
Mkuu unamuoa nani? Au umekosea quote?Naoa mwezi wa 11 nitafutie fundi mzuri wa suti
Ungeniita bwana auntieKama nakuona[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna siku nimesoma kitu mahali nikataka kukustua nikaamua kumute[emoji1787][emoji1787]
Aise kwa wewe kuja nipo tayari siku yeyote.Karibu sana.Lini upo tayari, nije nikuone mpendwa?
Huko kuchunga kondoo kimya kimya.Hahaha visa gani tena jamani?
Haki nilicheka, nikajisemea kuna watu wanateseka[emoji2297][emoji2297][emoji2297]Ungeniita bwana auntie
sawa mkuu nakutakia kila la heri kwa utayekutana nayemm yoyote t wala hamna shida..