Unatamani kukutana na mwanamke gani wa JF?

Unatamani kukutana na mwanamke gani wa JF?

Mimi ndo mrembo si ndio? Nianze kuringa sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Nipo mwaya tunapishana tu nikija mjini kwenu

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Wewe ndio mrembo mwenyewe..tamba kabisa. Tunapishana bhana harakati za Maisha zimekuwa nyingi..

Sent from my SM-A605FN using JamiiForums mobile app
 
Toka uoe umekua adimu sana. Siku nikija itabidi twende kule baharini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Wewe tu hunitafuti naona umepatikana sijui ni nani huyo mwamba . Hahaha kule bahari aisee kuna mambo..nilipenda ile vibe ya kule.

Sent from my SM-A605FN using JamiiForums mobile app
 
Wewe tu hunitafuti naona umepatikana sijui ni nani huyo mwamba . Hahaha kule bahari aisee kuna mambo..nilipenda ile vibe ya kule.

Sent from my SM-A605FN using JamiiForums mobile app
Hahahaaaa. Nilipatikana bwana Sema nimejitoa nimeshindwa. Sema nikija huko muda unakua mchache sana yani nashindwa kuonana na watu. Ila beach tutaenda [emoji4][emoji4][emoji4]

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom