Sawa babu.Achana na huyo mchuchu... hana lolote mzushi tu
Yeah! Embu mwana J.f toa maoni yako,ungepewa nafasi moja ungetamani kumwona nani hapa.....Mimi jamani,Huyu miss natafuta-Namtafuta km jina lake.
we ni mwanafunzi unaingia mwaka wa kwanza chuoMie sio mwanafunzi kabisaaa hicho kizee kinanichulia tu
Usidanganyike huyo ni kavulana tu hata hakajui maisha bado kanakula ugali wa kengele kwaoKumbee! Wewe kijana Asprin kwa nini umenidanganya?
Usidanganye watu wewe mtotoAchana na huyo mchuchu... hana lolote mzushi tu
kumbe unamjua kwa picha tu duuuh jina lenyewe Ibilisi LINATISHANina mjua mmoja hapo!
Vipi unataka picha yake?
punguza kupenda pesa bila hivo sikupendiiiHa haa pesa tamu ati
Huiamini jf basi rudi fb huku utokeEh..kuonana tu jamani! Au dume nini,maana hii j.f haiaminiki...
usije tena usiku mamaa vipi leo ntakuona pale pale ila sina pesa leoSi we mwenyewe ndio uliniita usiku, ulitegemea nini?
Basi ukipata pesa nistue.usije tena usiku mamaa vipi leo ntakuona pale pale ila sina pesa leo
ipo 1000 nauli ya daladala itakutosha njoo tuBasi ukipata pesa nistue.
Huo mtihani wa kupunguza kupenda pesa siwezi ufaulu aisepunguza kupenda pesa bila hivo sikupendiii