Unatarajia Yanga atapigwa goli ngapi leo?

We utakuwa NI mgeni Kwa soka la Africa hasahasa Kwa janjajanja zinazoonyeshwa na waarabu pindi wakicheza ugenini....huwa wanacheza kawaida Tu Ila ukienda kwao ndo utaona Moto wao halisi...
 
We utakuwa NI mgeni Kwa soka la Africa hasahasa Kwa janjajanja zinazoonyeshwa na waarabu pindi wakicheza ugenini....huwa wanacheza kawaida Tu Ila ukienda kwao ndo utaona Moto wao halisi...
Al ahly huwa hajiangushi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…