Unatoa 'Like' halafu baadaye una 'Unlike'

Hahahaaaa
Alitegemea na ww umpe....sasa akiona umeuchuna(najua ww bahili wa likes) ndo anarudi kufuta like yake yaani Kuunlike
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji115] jamaa kaona mbona zake hu like kaona na yeye achukue ya kwake
 
Huu mchezo,hauhitaji hasiraaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Una like hakafu baadae unakuja kuihamisha haha dah
Ee, hata hiyo nliyokupa ntaichukua baadae, kuna lijamaa langu nalisubiri likija ntaichukua nimpelekee, hiyo ni reserved hapo!
 
nimeamini binadamu akizeeka akili hurudi kuwa ya kitoto
[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Hata sasa nimekupa like but sooner or later I'm coming to take it out! Its funny and enjoyable!
 
Ivi manyani ngabu, c yale manyani yanayoonanga kundule? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Alivyosoma mada aliipenda na ku "like" tatizo likaja aliposoma jina la mleta mada akaona kumbe "Nyani Babu" wakati yeye tumbili.[emoji14] [emoji12]


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mwingine ni bahati mbaya tu hasa kwa wanaoyumia simu za tachi ktk kupandisha au kushusha anajikuta kalike hivyo inabidi ku unlike ikipita kama nusu sasa ndio anakuja ku unlike hayo makusudi sasa
 

πŸ˜€πŸ˜€dah nimecheka...
 
Unajua hiyo inaweza kutokea pale mtu anapofungua thread papu!! na akakutana na repliy yako iliyomfurahisha akaona inastahili kupewa "LIKE" na kweli akakupa hiyo "LIKE"

Sasa anavyoendelea kufungua pages mara anakutana na reply yako nyingine ambayo imejaa maudhi na ukakasi kwa mtazamo wake, basi anaona hata ile "LIKE" aliyokupa kwenye reply yako ya awali haustahili kuendelea kuwa nayo tena.

Lakini mimi nikishatoaga kitu nimetoa sinaga kujishauri tena kwa nilichokitoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…