Unatoa 'Like' halafu baadaye una 'Unlike'


Nilisha-like nilipoanza kusoma, ila baada ya kuona neno shit kwenye sentensi hiyo ya kibepari nika-unlaikua.
 
ha ha ha kumbe ndio mnavyofanya
 
Nami nimekupa like halaf nikaitoaaa
 
Ngoja nijitukane basi...mburukenge wewe.

Lione kwanza...Linyalukolo halafu linajifana LisukumaπŸ˜€.
Mwehu weweeee,,,,,sura nzito kama uji wa muhogo,libholo lyako lisookuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…