Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Page 22 zote, watu wanasema tutaleta mrejesho halafu wanakimbia.

Wazee mrejesho vipi?
 
Dawa yako inaweza kuwa nzuri ila kinachoogopesha watu wanaweza tumia na nywele zikaota ila sasa watakapoacha kuitumia nywele zitapotea tena na hii itawafanya wawe watumwa wa dawa zako sabu itabidi kwa gharama yeyote wanunue tu ili upara wao usionekane. Labda utueleze huyo mwanao hapo chini ni lini ameacha kutumia hiyo dawa kama ameshapona au ndo anaendelea kupaka kila siku!?
 
this is too good to be true, ngoja nitafute waliotumia wanipe mrejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…