Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa yako inaweza kuwa nzuri ila kinachoogopesha watu wanaweza tumia na nywele zikaota ila sasa watakapoacha kuitumia nywele zitapotea tena na hii itawafanya wawe watumwa wa dawa zako sabu itabidi kwa gharama yeyote wanunue tu ili upara wao usionekane. Labda utueleze huyo mwanao hapo chini ni lini ameacha kutumia hiyo dawa kama ameshapona au ndo anaendelea kupaka kila siku!?Aunt Zainab's Natural Super Clay, sasa imeonesha matumaini makubwa kwa wale wenye vipara na wale wenye matatizo ya kung'oka nywele, nywele zisizo na afya, nywele zinazokatika katika, nywele zinazong'oka kwa kutumia madawa ya nywele yenye kemikali kali, nywele zinazong'ka kwa kuvaa sana mawigi, nywele zinazong'oka baada ya kusukia nywele za bandia kwa muda mrefu.
Nimemjaribu mwanangu mwenyewe ambae alikuwa na kipara kinachokuja kwa kasi, na haya ni matokeo baada ya kutumia Aunt Zainab's Natural Super Clay kwa wiki nne tu, jionee mwenyewe:
Before
View attachment 268739 View attachment 268761
this is too good to be true, ngoja nitafute waliotumia wanipe mrejeshoUnachukuwa hii Aunt Zainab's Natural Super Clay kiasi ya kijiko kimoja cha chakula, unachanganya na maji iwe nzito nzito kama ugali laini au uji mzito, unapaka kichwa chote wakati upo nyumbani na ukikauka unalala nao, asubuhi unakoga tu kama kawaida. Ukikauka hauchafui nguo wala mashuka ya kitanda.
Mwanangu nilieweka picha zake hapo ndivyo alivyotumia na matokeo ni hayo baada ya wiki nne.
Mkuu utatapeliwa huoni comment karibia 10000 lakin hakuna hata mrejesho tokea mwaka jana?Bei ni kiasi gani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu utatapeliwa huoni comment karibia 10000 lakin hakuna hata mrejesho tokea mwaka jana?
Sio utan mkuu ila habar ndio hiyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
No comment mzazi, ila mama angekuja kutupa moyo vijana wake aisee, tumejisiriba sn haya matopeSio utan mkuu ila habar ndio hiyo
Ha ha ha kaka mi nilitaka kujaribu ila nafuatilia mwaka mzima hakuna jibu la mdauNo comment mzazi, ila mama angekuja kutupa moyo vijana wake aisee, tumejisiriba sn haya matope
Mimi nimetumia, nimefika hadi nyumbani kwa Tamimu, ni UTAPELI MTAKATATIFUthis is too good to be true, ngoja nitafute waliotumia wanipe mrejesho
Fanya ishu zingine mkuu. Achana na Haya matopeHa ha ha kaka mi nilitaka kujaribu ila nafuatilia mwaka mzima hakuna jibu la mdau
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] noma sanaHa ha ha kaka mi nilitaka kujaribu ila nafuatilia mwaka mzima hakuna jibu la mdau
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji35] [emoji35] [emoji35] kweli mkuu, hebu tiririka kidogo ilikuwajeMimi nimetumia, nimefika hadi nyumbani kwa Tamimu, ni UTAPELI MTAKATATIFU
Mkuu basi huko aliko jibu analo na pole sana kwa kujisiliba matope kama movie ya anorld predator!Kama ni money back guarantee aturudishie hela zetu ss
Asante mkuu, vipara vinatupeleka puta, ipo siku tutajipaka NNYAMkuu basi huko aliko jibu analo na pole sana kwa kujisiliba matope kama movie ya anorld predator!