Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Asante bibie, isiwe umentilia vidonge vya ... unajihami kabisa, maana wewe bibi hueleweki.

Asante nimeona watu wa MMU wanakusifu kwa kuweka tangazo langu kule. Nipe link nikalione.

Huyo jamaa yako kanipigia simu kabla hajaondoka Mkuranga.

Saa zingine binaadam saa zingine majinuni ras.

Eid Mubarak.

Ahsante bibi wewe, kweli kwetu wanasema "wafadhilaka wapundaka", hiyo ndiyo shukrani yako, kunipiga mateke?

Wewe unaweka dawa ya vipara kwenye jukwaa la daktari? ulisikia kipara ni ugonjwa? unanshagaza!

Wapelekee kule kwa wapendanao, kule ndiyo wanajali nywele zao.

Mwambie babu Abdul ampe huyo jamaa gomba alete huku, leo watu wanakesha huku Mkuranga, huyo kijana anarudi kaja kwa ajili yako tu kukuletea biriani halafu unanshambulia, husadifiki bibi weye.

Punguani wahed.
 
Hahaha hapana si umeona huyo kwenye picha hajaota usoni.

Yaani nimecheka kweli, nyie ninauhakika ndiyo mlioitwa na FaizaFoxy kutoka MMU.
FaizaFoxy wapelekee basi na jukwaa lako la ugonjwa wa moyo la siasa, huko ninahisi vipara ni wengi.

Haaa haaa....just a precaution mkuu....watumie kwa kufuata maelekezo vizuri....kwa vile pia hatujui risks zake...
 
Hahaha hapana si umeona huyo kwenye picha hajaota usoni.

Yaani nimecheka kweli, nyie ninauhakika ndiyo mlioitwa na FaizaFoxy kutoka MMU.

FaizaFoxy wapelekee basi na jukwaa lako la ugonjwa wa moyo la siasa, huko ninahisi vipara ni wengi.

Kwenye siasa unataka wakanishambulie? ngoja ntawapelekea wakiniudhi, subiri.
 
na walee wenye chunusi na makovu,na USO wenye mafuta,una sabuni au ???
 
na walee wenye chunusi na makovu,na USO wenye mafuta,una sabuni au ???

Ni hii hii ndiyo dawa yao:

Namna ya kuutumia ni hivyo hovyi iwe unaupaka kichwani au mwilini:

Unachukuwa hii Aunt Zainab's Natural Super Clay kiasi ya kijiko kimoja cha chakula, unachanganya na maji iwe nzito nzito kama ugali laini au uji mzito, unapaka kichwa chote wakati upo nyumbani na ukikauka unalala nao, asubuhi unakoga tu kama kawaida. Ukikauka hauchafui nguo wala mashuka ya kitanda.

Na ule uliobaki kama umeokoroga mwingi kuliko ulivyotumia unautumia tena siku ya pili hauharibiki kabisa hata ukikaa mwaka , sana sana unakauka ukiuongeza maji ukiukoroga unarudi vile vile. Ni ajabu.

Mwanangu niliyeweka picha zake hapo ndivyo alivyotumia na matokeo ni hayo baada ya wiki nne, lakini abasema baada ya siku tatu tu kaanza kuona mabadiliko.

Pitia hapa uisome kwa namna ya kutoa chunusi: https://www.jamiiforums.com/matanga...na-zaidi-aunt-zainabs-natural-super-clay.html
 
We rongo sana bana hii picha mutu mbali mbali

Ni mtu mmoja huyo, hizo picha tu zimepigwa sehemu tofauti na wakati tofauti, hiyo ya before nime i crop, ngoja nitume kamili ili uhakikishe.

Sina sababu ya kudanya ndugu yangu. Hii tiba ya asili na kiajabu na ninashukuru Mwenyeezi Mungu kuniwezesha kuijuwa.

Tena inabidi uwe nayo pakti moja nyumbani wakati wote kwani licha ya kuotesha nywele na kutibu watu wenye nywele dhaifu na zina zong'oka pia inatibu kwa haraka sana mtu akiunguwa moto kuliko dawa yoyote ya hospitali niliyowahi kuiona mpaka sasa.

Tazama hizi picha, hiyo ya before nimee icrop kutoka hii aliyosimama:

Thabit before.jpg
 
nimependa jinsi hyu Dada zainab alivyo positive anajiamini hana hasira angekuwa MTU mwenye moyo dhaifu angeishakimbia hii thread

Ndugu yangu hii tiba ya Aunt Zainab's Natural Super Clay ndio inanifanya nijiamini. Ninauhakika nayo na mtu yeyote nipo tayari kumpa bure kama hana uwezo wa kununua na ana matatizo ya nywele na ngozi. Tatizo lolote la ngozi inasaidia.

Pia sikuja kwa kujificha niko verified, na ninaiuza hii dawa kutoka nyumbani kwangu na kabla LOGORIDDIM wa JF hajanitengezea hii logo na kuiweka kwenye avatar yangu niliweka picha yangu mwenyewe.

Ni clay ya ajabu kabisa. Tujivunie tiba zetu za asili.
 
Last edited by a moderator:
Ninaomba sana wale waliokwisha tumia Aunt Zainab's Natural Super Clay aidha kwa matatizo ya nywele au ngozi walete mrejesho hapa kwani wengi sana bado wana wasi wasi na hii tiba ya asili. Ni 100% asilia na imesaidia wengi sana.
 
Ni hii hii ndiyo dawa yao:

Namna ya kuutumia ni hivyo hovyi iwe unaupaka kichwani au mwilini:

Unachukuwa hii Aunt Zainab's Natural Super Clay kiasi ya kijiko kimoja cha chakula, unachanganya na maji iwe nzito nzito kama ugali laini au uji mzito, unapaka kichwa chote wakati upo nyumbani na ukikauka unalala nao, asubuhi unakoga tu kama kawaida. Ukikauka hauchafui nguo wala mashuka ya kitanda.

Na ule uliobaki kama umeokoroga mwingi kuliko ulivyotumia unautumia tena siku ya pili hauharibiki kabisa hata ukikaa mwaka , sana sana unakauka ukiuongeza maji ukiukoroga unarudi vile vile. Ni ajabu.

Mwanangu niliyeweka picha zake hapo ndivyo alivyotumia na matokeo ni hayo baada ya wiki nne, lakini abasema baada ya siku tatu tu kaanza kuona mabadiliko.

Pitia hapa uisome kwa namna ya kutoa chunusi: https://www.jamiiforums.com/matanga...na-zaidi-aunt-zainabs-natural-super-clay.html

Bi Dada, hebu hapo andika "unaukandika" kichwani au mwilini au usoni. Maana ukisema kupaka watu watafikiri kama mafuta.

Namna hii:

IMG_7427.JPG


Usinishobokee kwa kukuelewesha!

Kwi kwi kwi teh teh teh.
 
Bi Dada, hebu hapo andika "unaukandika" kichwani au mwilini au usoni. Maana ukisema kupaka watu watafikiri kama mafuta.

Namna hii:

IMG_7427.JPG


Usinishobokee kwa kukuelewesha!

Kwi kwi kwi teh teh teh.

Good Point FF, kumbe we bibi saa zingine una akili. Soma hii...

Matumizi:

Unachukuwa Aunt Zainab's Natural Super Clay kiasi ya kijiko kimoja cha chakula, unachanganya na maji iwe nzito nzito kama ugali laini au uji mzito,
unakandika au unausiriba kichwa chote na ukikauka unaweza hata kulala nao, asubuhi unakoga tu kama kawaida, ukikauka hauchafui nguo wala mashuka ya kitanda. La kama hautaki kulala nao basi unasubiri ukauke unaousha au unakoga kama kawaida.

Na ule uliobaki kama umeokoroga mwingi kuliko ulivyotumia unautumia tena siku ya pili hauharibiki kabisa hata ukikaa mwaka , sana sana unakauka ukiuongeza maji ukiukoroga unarudi vile vile. Ni ajabu.


Mwanangu niliyeweka picha zake hapo ndivyo alivyotumia na matokeo ni hayo baada ya wiki nne, lakini amesema kuwa baada ya siku tatu tu kaanza kuona mabadiliko.

Pitia hapa uisome kwa namna ya kutoa chunusi: Wenye Matatizo ya Chunusi na Zaidi: Aunt Zainab's Natural Super Clay
 
Kweli udongo huu unalainisha ngozi, na pia unakomesha chunusi. Nime-prove mwenyewe. Wonderful! Niko Dodoma, naupata kwa wakala Rukia

Asante sana kwa feed back ndugu yangu.

Na sasa kama unavyojionea kwenye huu uzi tumegundua kuwa inasaidia sana wenye matatizo ya nywele.

Pia unasaidia sana kwa wale wenye jasho la harufu kali (kikwapa).

Nashukuru kwa feedback nzuri. Msalimie sana Bi Rukia hapo Dodoma, mwambie ninaimiss mix yake.
 
Back
Top Bottom