Mmmmh.....kwa utafiti wangu nimegundua hzo picha ni za watu wawili tena wenye umri tofauti....naanza kupata wasiwasi juu ya hiliSema bei na quantity
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmh.....kwa utafiti wangu nimegundua hzo picha ni za watu wawili tena wenye umri tofauti....naanza kupata wasiwasi juu ya hiliSema bei na quantity
Mmmmh.....kwa utafiti wangu nimegundua hzo picha ni za watu wawili tena wenye umri tofauti....naanza kupata wasiwasi juu ya hili
Nautafuta sana huo udongo tuujaribu maana unautangazaa sana.
nataka kuutumia kuona kama utaweza kuondoa au kupunguza vipele vya ndevu.
OMBI:
Kama kuna uwezekano ukaweka ramani ya kufika (direction) hapo sinza unapopatikana huo udongo itakua vizuri zaidi kwani tushajaribu kuja km mara mbili ukipiga simu either haipatikan au haipokelewe ama ipo bize muda mrefu si unajua wengine muda wa kuibia.
Pole sana kwa usumbufu. Nitawaambia wanangu waniwekee "map" maana mimi sio mtaalam sana wa mambo haya ya kompyuta.
Tusamehe sana, simu nyingine za mume wangu Mzee Abdul ni hizi: 0756803528 au 0773484384 tafadhali ukikosa zile zangu piga hizo.
Samahani sana.
Itakua umefanya jambo la maana sana na kuwasaidia wengine pia kwa kuweka raman hata kwa maelezo ya kumfikisha mtu hapo unapopatikana au karibu na hapo ambapo mtu akiuliza anaweza elekezwa.
Zainab Tamim mbona hujanitag Wateja wamenipigia simu nikawakatalia kumbe inaondoa upara?
Samahani sana, Mimi hata kutag sijui,, hebu nielekeze, tena inasaidia sana si kuondoa tu kipara, hata nywele hafifu au zinazokatika katika. Soma post namba moja.
Wapigie tu uwaambie ulikuwa hujapa habari.
Samahani sana.
Nifundishe namna ya ku tag.
Weka hii alama @ bila kuacha nafasi andika jina la mhusika basi.. Zainab Tamim
Mmh sasa mwenye upara natural inakuwaje nae zinaota? Na akiacha inakuwaje? Inatumia muda gani kuotesha
Upara wa asilia hauzaliwi nao unakuja ukubwani lakn sio kwasababu ya magonjwa au fungus ni kwasababu za urithi ndio nikauliza je inafanya kazi?
Kingine nilichogundua hukutulia kufanya utafiti wa hii dawa, ulipompaka mwanao yu zikaota uka assume tayari hii itafanya mbeleni uonekane tapeli
Kila kitu kinahtaji utafiti wa kina ili usiyoe majibu kama #Sijui ulipaswa kutafuta watu tofauti tofauti # volunteers watakao prove ubora wa dawa yako katika mazingira tofauti tofauti
Kwa mfano najua nikikuuliza vipi mtu zikishaota akaacha kutumia bila shaka utasema #Hujui lakn kuna sidw effects hata za icho unaita #natural remedies. Kwa mfano vip mtu zikiota kisha akaacha ndio zikapukutika kichwa kizima?
Maana yake itabd iwe lifetime dose. Au vinginevyo
Sipingi dawa yako ila ulitakiea kuitafiti kwa kina kabla ya kuuza ili usije na majibu ya Sijui. Sasa kama wewe hujui mgonjwa atajua jamani?
Mwanao hujasema nywele zake ni inherited bald or vinginevyo ... Hii ya kuuza ukitaka feedbak kwa watu mmmh, sijui lakn utafiti kwanza iyo dawa katika mazingira yote.
BINADAMU WABAYA. Side effects zipo hata itching ikitokea ni side effect, au mwingine aweza pata mzio (allergy) kwa izo izo natural remedy. Kwani hujawai ona mtu akijipaka lets say jani la mmea wa asili anavimba?
Huu ni ushauri tu kwa mtazamo mpana
Mimi nilikua nasubiri tu mrejesho kwa wale waliotumia lakini mpaka leo siku ya sita now sijapata mrejesho. Hii inamaanisha nini? @zainab tamim