Rudbway
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 295
- 159
unajua maswala ya afya kama haya yanahitaj mtu au mtaalam awe serious na uhakika na anachokizungumza isiwe ni kwa ajil ya maslah ya pesa amwogope mungu wake ajue siku 1 ataulzwa baada ya kufa kwan kufa ni lzm hata asieamini mungu, kwa kutambua hili namimi namtaka mtoa uzi atuhakikishie hili kama alvymtaka mwenzangu CMBC Mlalahoi, mm nna tatzo la chunusi kuharibu uso mng na nimeshatumia bidhaa nyingi lkn wapi, bila shaka we ni muislam, (na hata kama sio muilam) unauhakika na hichi ulichoweka hapa, watu tumeshatapeliwa sana na matatzo yetu lkn hatujaona mafanikio yoyote. Tunaomba uhakika mm ntakueletea wny tatzo kama lng endapo utatuhakikishia KAMA SIVYO BASI NI UONGO JIANDAE NA MAJIBU KWA ALIEKUUUMBA. wasalam