Nyamwage
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 712
- 1,748
Hii post paid ipojeMimi najibana sana natumia shilingi elfu 25 ambapo napata 30gb huduma ya post paid.
Tuambie unatumia kiasi gani cha pesa kwa mwezi kwa ajili ya bando la internet hasa wakati huu mabando hayshikiki?