Unatumia mbinu gani kuomba showtime kwa demu ambaye hamjuani?

Unatumia mbinu gani kuomba showtime kwa demu ambaye hamjuani?

Ya nn kujipa kazi yote hii?

Mwanamke anayejitambua ukimwambia Tu ukweli kwamba mwenzio najisikia kusex na wewe Ila sihitaji tuwe na mahusiano maana Nina mtu mbona anakuelewa!! Wanawake wenyewe hawa siku hizi hawataki mambo ya kugandana Kama kucha.Tena ukimwambia ukweli anakushukuru Sana na kukuambia angalau wewe umesema ukweli unataka game Tu laini mambo ya kuambiana nakupenda kinafiki umekataa

Wa zamani siyo wa sasa mkuu,mambo yamebdilika,hakuna haja ya konakona
Mmh
 
Mimi nilimwambia "naomba upange muda wako vzr tukato......" akaanza kunichana ohoo wewe huna maneno ya mahaba na hujui kutongoza, hata kunidanganya umeshindwa.

Nikamwambia sipendagi uongo, nikamwachia namba, nikamwambia ukiwa tayari utanicheki nikasepa. Baada ya siku 3 alinichek nikapiga
 
Naam naam, unaweza kutana na pisi kali ukaitamani. Hauna muda wa kuanza kuitongoza na kuidanganya unaipenda kwanza unakuta una manzi yako ambayo unaipenda kweli. Hivyo unataka zako showtime tu kila mtu ale hamsini zake.

Em marijali tushare mbinu hapa za jinsi ya kuomba showtime kwa pisi kama hii kistaarabu huku unaeza ukakuta sio malaya.
Kwanza jua HAIBA yake...halafu umtokee kwa kadiri ya aina.......
 
Back
Top Bottom