kibamia original
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 262
- 768
Don't be fooled with this IDHahah wenye vibamia og ndo wahongaji wazuri sana [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Don't be fooled with this IDHahah wenye vibamia og ndo wahongaji wazuri sana [emoji1787][emoji1787]
MmhYa nn kujipa kazi yote hii?
Mwanamke anayejitambua ukimwambia Tu ukweli kwamba mwenzio najisikia kusex na wewe Ila sihitaji tuwe na mahusiano maana Nina mtu mbona anakuelewa!! Wanawake wenyewe hawa siku hizi hawataki mambo ya kugandana Kama kucha.Tena ukimwambia ukweli anakushukuru Sana na kukuambia angalau wewe umesema ukweli unataka game Tu laini mambo ya kuambiana nakupenda kinafiki umekataa
Wa zamani siyo wa sasa mkuu,mambo yamebdilika,hakuna haja ya konakona
huyo zena anaonekana anakichwa kigumu sana
Kwanza jua HAIBA yake...halafu umtokee kwa kadiri ya aina.......Naam naam, unaweza kutana na pisi kali ukaitamani. Hauna muda wa kuanza kuitongoza na kuidanganya unaipenda kwanza unakuta una manzi yako ambayo unaipenda kweli. Hivyo unataka zako showtime tu kila mtu ale hamsini zake.
Em marijali tushare mbinu hapa za jinsi ya kuomba showtime kwa pisi kama hii kistaarabu huku unaeza ukakuta sio malaya.
Hii ni waste of time,ni staili ya kizamani labda kama unatafuta mwanamke wa kuoa hapo